Diamond Platnumz - Mama Samia

Diamond ameshaishiwa kwenye mziki baada ya mwaka atakuwa kama Bwana Misosi tofauti hela tu. Sasa hivi wakaida mno

Utabiri wa kichawi kama huu ulianza toka mwaka 2015 ambapo Diamond alipotoa remix ya nyimbo yake maalumu kwa CCM ' My Number one ( CCM my number one)', na kufanya kampeni 2015 kwa mgombea wa urais CCM The late JPM wapiga ramli kama wewe walimtabiria kuporomoka kimuziki

Lakini baada ya hapo time after time Diamond akaendelea kufanya vizuri zaidi kimuziki
 
Kwa mziki gani? Diamond hana ukali wowote tena ashazoeleka, mwanzoni alikuwa vizuri kwenye kuimba sizingumzii hela. Diamond sahivi amebaki kuimba ujinga ujinga tu ambao umezoeleka
 
kwa mziki gani ?Diamond hana ukali wowote tena ashazoeleka ,mwanzoni alikuwa vizuri kwenye kuimba sizingumzii hela .Diamond sahivi amebaki kuimba ujinga ujinga tu ambao umezoeleka
We jamaa labda humjui Diamond vizuri na kama unamjua bax ni chuki binafsi... nitajie msanii yeyote hii bongo ambaye akitoa wimbo utajadiliwa kwa kila namna km mond. Ona iyo, iangalie kamata, kaichek na naanzaje zilivozua mijadala... Kwa hayo tu ya kujadiliwa kila akitoa ngoma inaonekana ni kwa kiasi gani anafatiliwa
 
Ni swala la mda tu maporomoko yatapita pande hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…