Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

Jamani wana JF hili ni swali ambalo kila siku huwa linanitatiza hivi King Kiba na Diamond Platnum nani ana mali nyingi na ana sauti nzuri ya kuimba live on stage na sauti nzuri ya kuimba akiwa anarecord ngoma yake.
Kusoma hujui hata picha huoni pia.
 
Back
Top Bottom