Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Woyooo! Naona uzi wetu umerudi.. Sijui waliuficha wapi..

Hebu tuufufue tena wakuu.. Winners, watu wa mipango, Wadau, wapenzi na mashabiki wote wa # WinnersCycle WCB.. Hiki kijiwe chetu kimerudi..

Sasa Nifah ole wako mkafufue kile kiuzi chenu cha kiba, si unajuaga nikikasirika
Nilivyoona hiyo avatar nilidhanj ni Nifah nikajua labda ameungama

So ikabidi nicheki ID Mara mbili mbili ahaaaa kumbe ze bolidi hahaha
 
Kabisa Mkuu! Diamond ni kioo na mfano wa kiigwa na wasanii wengine Tanzania na Africa kwa ujumla..

Hakuna msanii aliyeoigwa vita na media na haters kama Diamond lakini mpaka sasa amebakia kileleni na kuwa moja ya manguli wa hii industry Africa..

Bravo.
Bravo
Tatizo kubwa tulilo nalo kama taifa ni kutowatia moyo mashujaa wetu, Diamond is our champion kwenye musical industry. Ni bahati mbaya sana hatuna utaratibu mzuri wa kuenzi heros wetu ktk sekta mbalimbali na ndio maana tunashindwa kuzalisha vijana wapya mahiri badala yake ni kuwapiga vita ili wasizidi kupata mafanikio. Diamond Go Go Go Go. ....
 
Bravo
Tatizo kubwa tulilo nalo kama taifa ni kutowatia moyo mashujaa wetu, Diamond is our champion kwenye musical industry. Ni bahati mbaya sana hatuna utaratibu mzuri wa kuenzi heros wetu ktk sekta mbalimbali na ndio maana tunashindwa kuzalisha vijana wapya mahiri badala yake ni kuwapiga vita ili wasizidi kupata mafanikio. Diamond Go Go Go Go. ....

Kabisa Mkuu! Watanzania tumekuwa stadi sana kuwapiga vita heros wetu..
 
88c09c16f02b73b99b8bc6afef1a4787.jpg
 
f095ebd79ca79c3f8b3ff25597e90000.jpg


Hit song ya [HASHTAG]#MarryYou[/HASHTAG] by Simba @diamondplatnumz from Tanzania,East africa imefanikiwa kuingia katika Top 20 ya video bora za wasanii wapya nchini Marekani (United States of America)
[HASHTAG]#MALENGO[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom