Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Mimi kama mtanzania mzalendo najivunia sana Diamond. Ni mpiganaji. Kwanza atambue kuwa baadhi ya watz hupenda kukatisha tamaa wenzao pale wanapochomoza kimaisha. Diamond unaweza sana. Ushauri wangu kwako kuwa kioo cha jamii kiukweli, heshimu watu wote, heshimu wazazi wako, heshimu mwenza wako, somesha watoto. Napenda couple yako na BossLady Zari!
 
Mimi kama mtanzania mzalendo najivunia sana Diamond. Ni mpiganaji. Kwanza atambue kuwa baadhi ya watz hupenda kukatisha tamaa wenzao pale wanapochomoza kimaisha. Diamond unaweza sana. Ushauri wangu kwako kuwa kioo cha jamii kiukweli, heshimu watu wote, heshimu wazazi wako, heshimu mwenza wako, somesha watoto.
Kabisa Mkuu! Diamond ni kioo na mfano wa kiigwa na wasanii wengine Tanzania na Africa kwa ujumla..

Hakuna msanii aliyeoigwa vita na media na haters kama Diamond lakini mpaka sasa amebakia kileleni na kuwa moja ya manguli wa hii industry Africa..

Bravo.
 
Woyooo! Naona uzi wetu umerudi.. Sijui waliuficha wapi..

Hebu tuufufue tena wakuu.. Winners, watu wa mipango, Wadau, wapenzi na mashabiki wote wa # WinnersCycle WCB.. Hiki kijiwe chetu kimerudi..

Sasa Nifah ole wako mkafufue kile kiuzi chenu cha kiba, si unajuaga nikikasirika
Nilivyoona hiyo avatar nilidhanj ni Nifah nikajua labda ameungama

So ikabidi nicheki ID Mara mbili mbili ahaaaa kumbe ze bolidi hahaha
 
Kabisa Mkuu! Diamond ni kioo na mfano wa kiigwa na wasanii wengine Tanzania na Africa kwa ujumla..

Hakuna msanii aliyeoigwa vita na media na haters kama Diamond lakini mpaka sasa amebakia kileleni na kuwa moja ya manguli wa hii industry Africa..

Bravo.
Bravo
Tatizo kubwa tulilo nalo kama taifa ni kutowatia moyo mashujaa wetu, Diamond is our champion kwenye musical industry. Ni bahati mbaya sana hatuna utaratibu mzuri wa kuenzi heros wetu ktk sekta mbalimbali na ndio maana tunashindwa kuzalisha vijana wapya mahiri badala yake ni kuwapiga vita ili wasizidi kupata mafanikio. Diamond Go Go Go Go. ....
 
Bravo
Tatizo kubwa tulilo nalo kama taifa ni kutowatia moyo mashujaa wetu, Diamond is our champion kwenye musical industry. Ni bahati mbaya sana hatuna utaratibu mzuri wa kuenzi heros wetu ktk sekta mbalimbali na ndio maana tunashindwa kuzalisha vijana wapya mahiri badala yake ni kuwapiga vita ili wasizidi kupata mafanikio. Diamond Go Go Go Go. ....

Kabisa Mkuu! Watanzania tumekuwa stadi sana kuwapiga vita heros wetu..
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom