Mimi kama mtanzania mzalendo najivunia sana Diamond. Ni mpiganaji. Kwanza atambue kuwa baadhi ya watz hupenda kukatisha tamaa wenzao pale wanapochomoza kimaisha. Diamond unaweza sana. Ushauri wangu kwako kuwa kioo cha jamii kiukweli, heshimu watu wote, heshimu wazazi wako, heshimu mwenza wako, somesha watoto. Napenda couple yako na BossLady Zari!