Mtu na pesa yake matumizi wanapanga wengine ila ukiwauliza wewe kibindoni una bei gani wataishia kubung'aa tuuKabisa ila kumbuka wabongo zetu fitina maana hata uwekezaji wake bado baadhi ya watu wanaukosoa kuwa ni kidogo kulingana na pesa anayovuna, huoni watu wanavyotoka povu?!
Hebu nilinkishe kaka tafadhali tusijaze server kwa kitu kilekileIpo mkuu ondoa shaka, ila siku hizi zile nyuzi zote zimekufa baada ya mods kuleta unazi
Gud gud
Hey uko wapiiiii? ???Hellow ma Fellow Fanssssssss
Chibu hawezekanikiDiamond X Usher Reymond
Kabisa Mkuu! Diamond ni kioo na mfano wa kiigwa na wasanii wengine Tanzania na Africa kwa ujumla..Mimi kama mtanzania mzalendo najivunia sana Diamond. Ni mpiganaji. Kwanza atambue kuwa baadhi ya watz hupenda kukatisha tamaa wenzao pale wanapochomoza kimaisha. Diamond unaweza sana. Ushauri wangu kwako kuwa kioo cha jamii kiukweli, heshimu watu wote, heshimu wazazi wako, heshimu mwenza wako, somesha watoto.