Hahahaaaa. Ngono ni shetani mbaya katika fani yeyote ile, Ngono ni nzuri kwa kutotoa watoto tuHata wachezaji wanaambiwa wapunguze ngono sijui kwa nini?
Kabisa mkuu ukiendekeza hii kitu unarudi nyuma sijui inaucchaw ganiHahahaaaa. Ngono ni shetani mbaya katika fani yeyote ile, Ngono ni nzuri kwa kutotoa watoto tu
sasa kumbe pilipili iko shamba, wewe wa bara inakuwashaje mkuukwani Mimi nashirikiana na kutunga? mbona sina hata ukaribu na yeye, Mimi naishi zangu huku bara aise
Wewe ndio unaepotea unakaribia kua kichaa kwa sababu kitu kinachokua unakiona kinapoteakwani Mimi nashirikiana na kutunga? mbona sina hata ukaribu na yeye, Mimi naishi zangu huku bara aise
Kwa kweli sisi mashabiki hatuelewi nini kimemsibu Kipendwa wetu kwani kadiri siku zinavyoenda ndivyo kipaji chake kinazidi kupotea! Nani mchawi Wa Muziki wake?
Chanzo: Nyimbo zake za hivi karibuni mfano bora nikae kimya, Hallelujah n.k.
Mtafte tuu Rasi Simba akufunze kingereza tatizo hapa haujui lugha mkuu, hii nyimbo Kali sana.Kwa kweli sisi mashabiki hatuelewi nini kimemsibu Kipendwa wetu kwani kadiri siku zinavyoenda ndivyo kipaji chake kinazidi kupotea! Nani mchawi Wa Muziki wake?
Chanzo: Nyimbo zake za hivi karibuni mfano bora nikae kimya, Hallelujah n.k.