kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Jamaa nahisi siyo mzimaWabongo bana sio wa spoti spoti
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
Jamaa nahisi siyo mzimaWabongo bana sio wa spoti spoti
Post sent using JamiiForums mobile app
Karanga mradi wa kipuuzi na usio na faida wala fyucha. Hivi nin kinaongezwa kwenye karanga zaid ya kukaanga tu. Pafyumu bei mbaya na jina halipo kibiashara.Hoja yako ya msingi ni ipi pafyumu bei ya juu umelalamika, kawaletea karanga bei chee na penyewe unalalamika so tukuweke kundi gani
Post sent using JamiiForums mobile app
wewe una biashara gani inayouza katika kitongoji chako na kata nzima?Karanga mradi wa kipuuzi na usio na faida wala fyucha. Hivi nin kinaongezwa kwenye karanga zaid ya kukaanga tu. Pafyumu bei mbaya na jina halipo kibiashara.
Angetengneza angalau jeans na vitop au pedo akaviita platnumz, angeuza afrika mashariki na afrika nzima kwa faida nzuri.
Nauza mende wasafi, wapo wa kuchoma na kubanika.wewe una biashara gani inayouza katika kitongoji chako na kata nzima?
Acha kabisa wewe. Hakuna kitu nakiheshimu kama karanga. Hao unaowaona wanatembeza barabarani kwenye makapu usiwachukulie juu juu.Karanga mradi wa kipuuzi na usio na faida wala fyucha. Hivi nin kinaongezwa kwenye karanga zaid ya kukaanga tu. Pafyumu bei mbaya na jina halipo kibiashara.
Angetengneza angalau jeans na vitop au pedo akaviita platnumz, angeuza afrika mashariki na afrika nzima kwa faida nzuri.
Katika kipato chako mwezi huu tenga kiasi kidogo kwa ajili ya kupima afya ya akili yakoNauza mende wasafi, wapo wa kuchoma na kubanika.
Umeshawah hudhuria clinic ya akili kabla? Ni ajabu binadamu timamu ati kujiita "mende" .Katika kipato chako mwezi huu tenga kiasi kidogo kwa ajili ya kupima afya ya akili yako
Bakhresa anauza mandazi, chapati, nazi, kwa hiyo na yeye ni kilaza na izo biashara hazina future siyo.....kaka hujielewiKaranga mradi wa kipuuzi na usio na faida wala fyucha. Hivi nin kinaongezwa kwenye karanga zaid ya kukaanga tu. Pafyumu bei mbaya na jina halipo kibiashara.
Angetengneza angalau jeans na vitop au pedo akaviita platnumz, angeuza afrika mashariki na afrika nzima kwa faida nzuri.
Mkuu huu uzi si ni wa kumshaur the dangote , maoni yangu ni hayo. Ww huna la kusema kuhusu biashara alizobuni karibuni? Vizuri.Acha kabisa wewe. Hakuna kitu nakiheshimu kama karanga. Hao unaowaona wanatembeza barabarani kwenye makapu usiwachukulie juu juu.
.
.
Sasa mkuu kwani yeye akiuza karanga wewe unapata hasara gani? Tuelekeze kwenye mradi wako ulipo tuje tushuhudie.
Ww ndo hujielewi jamaa kakujibu kiakili sana kwa kuwa ww dishi limecheza basi umejaaUmeshawah hudhuria clinic ya akili kabla? Ni ajabu binadamu timamu ati kujiita "mende" .
Halafu ulivokua kichwa mbovu hata hujanielewa nilivyokusanifu kwamba nauza "mende wasafi" .
Shida ni kuwa mwendawazimu huwa hajui kuwa yeye ni mwrndawazimu...kaichomoe akili yako ulikoichomeka ndo urudi hapa...shubamitUmeshawah hudhuria clinic ya akili kabla? Ni ajabu binadamu timamu ati kujiita "mende" .
Halafu ulivokua kichwa mbovu hata hujanielewa nilivyokusanifu kwamba nauza "mende wasafi" .
Unafananisha uwekezaj wa baharesa na mcheza shoo wenu? Kilaza mkubwa wee.Bakhresa anauza mandazi, chapati, nazi, kwa hiyo na yeye ni kilaza na izo biashara hazina future siyo.....kaka hujielewi
Post sent using JamiiForums mobile app
Hahaha mende kakasirika, sasa sijui huyu ni mende wa chooni au wa jalalani. Ha ha wewe utakuwa mende wa bafuni sababu ni mende msafi;Shida ni kuwa mwendawazimu huwa hajui kuwa yeye ni mwrndawazimu...kaichomoe akili yako ulikoichomeka ndo urudi hapa...shubamit
Hata bakhresa alianza mdogo mdogo mpaka kafikia apo na kipindi anaanza kuuza mandazi wenye akili ndogo kama ww walimshangaa lkn asa iv ni bilionea kupitia izo biashara, kweli ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi, ndugu una akili ndogo sana kama pliton.Unafananisha uwekezaj wa baharesa na mcheza shoo wenu? Kilaza mkubwa wee.
Nilitegemea kuona ushauri unaojenga na sio kuponda. Sina tatizo na biashara zake kwasababu yeye mwenyewe anajua hasara na faida zake. Kila mtu akiuza jeans nani atamuuzia mwenzake karanga?Mkuu huu uzi si ni wa kumshaur the dangote , maoni yangu ni hayo. Ww huna la kusema kuhusu biashara alizobuni karibuni? Vizuri.
Umeongea point sana kaka, wabongo tushakalili kuwa msanii ni lazima auze nguo so diamond kuuza karanga wanaona kama kapotea.Nilitegemea kuona ushauri unaojenga na sio kuponda. Sina tatizo na biashara zake kwasababu yeye mwenyewe anajua hasara na faida zake. Kila mtu akiuza jeans nani atamuuzia mwenzake karanga?
Asante. Mimi ni dada!Umeongea point sana kaka, wabongo tushakalili kuwa msanii ni lazima auze nguo so diamond kuuza karanga wanaona kama kapotea.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kama dream yake aje kuwekeza na kuwa na viwanda kama baharesa, ni vizur nitamuombea dua njema. Sasa akili Panadol uzi huu ni wa kumshauri, unamshaur the dangote gani jingine au we huwez mkosoa?Hata bakhresa alianza mdogo mdogo mpaka kafikia apo na kipindi anaanza kuuza mandazi wenye akili ndogo kama ww walimshangaa lkn asa iv ni bilionea kupitia izo biashara, kweli ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi, ndugu una akili ndogo sana kama pliton.
Post sent using JamiiForums mobile app
Alipofika domo amefika bila ushauri wako...unadhani nani ni timamu zaidi kati ya yeye na wewe?...anyway sijui kipato chako huenda ukawa na ukwasi wa kutosha, ila jifunze kuthamini Jitihada za wengine, kama chibu perfume huwezi kununua si utafute nivea upite zako...!!Hahaha mende kakasirika, sasa sijui huyu ni mende wa chooni au wa jalalani. Ha ha wewe utakuwa mende wa bafuni sababu ni mende msafi;