Watanzania bhana,hivi kwa akili za kawaida mnaona hizo picha ni za tukio moja...kama ni kweli bas huyo muuaji ni ----,kwenye haraiki ya watu kma hivo anaendesha baiskeli..afu bisu liko nje nje.?shigongo wapeleke waandishi wako shule waache porojo.
Kipenzi huko ni zaidi ya kumchukia ndomo, umeona kuna sehemu yoyote kapeleka taarifa ya kuwa alinusurika kuchomwa kisu? Hilo neno KUTAFUTA ATTENTION mbona limekuwa kama Wimbo wa TAIFA!!!! Usiamini kila unachokisikia, Utakuwa mwehu wa mwisho ukiyaamini magazeti ya udaku werevu washaacha kusoma hayo magazeti zamaaaaaaaaaaaaani za kuambiwa changanya na zako (in kikwete's voice)
Kwa uchunguzi wangu picha ya mwenye kisu alikuwa kwenye misele yake pengine biashara za kutumia visu kama vile embe, machungwa, madafu n.k. Walichofanya waleta habari wakaunganisha na picha za tukio jingine ili kutengeneza habari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.