Diamond noma kaajiri hadi mbeba viatu

Diamond noma kaajiri hadi mbeba viatu

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,902
Reaction score
15,931
vv.jpg
 
Jamani mumuache LeMutuz

Napenda swagga zake za kusaka pesa, wengi kama Mange wanamuonea wivu sababu hawana pa kupatia pesa na pia ujanja alionao.

Hongera zako Le Mutuz, fanya yako, ishi kivyako, kweli umejulikana haswa na wanazidi kukupa kiki.

Mange inaonekana anakupenda sana najua utajisoma humu, inabidi umtumie malavi davi maana anaishi akikutamani hadi anaishia kukutukana kwenye mitandao...anakupenda na hivyo dada yako hana time nae kivile basi tena...na wewe upo na dadako beneti anasikia wivu haswa

Beba viatu hata safisha njia kama unaingiza pesa ndio umuhimu...tabu watanzania wanagikiri kupata pesa haswa ni ulale tu uringe ujifanye huwezi hili au lile.
 
Jamani mumuache LeMutuz

Napenda swagga zake za kusaka pesa, wengi kama Mange wanamuonea wivu sababu hawana pa kupatia pesa na pia ujanja alionao.

Hongera zako Le Mutuz, fanya yako, ishi kivyako, kweli umejulikana haswa na wanazidi kukupa kiki.

Mange inaonekana anakupenda sana najua utajisoma humu, inabidi umtumie malavi davi maana anaishi akikutamani hadi anaishia kukutukana kwenye mitandao...anakupenda na hivyo dada yako hana time nae kivile basi tena...na wewe upo na dadako beneti anasikia wivu haswa

Beba viatu hata safisha njia kama unaingiza pesa ndio umuhimu...tabu watanzania wanagikiri kupata pesa haswa ni ulale tu uringe ujifanye huwezi hili au lile.
Kwa kweli nampongeza, kajipendekeza wee hadi kadaka ajira kwa Diamond, nasikia analipwa dola 80 kwa wiki kwa kubeba viatu tu, si haba!
 
Hivi kwanini hawa wasanii wanapenda kuvaa vijisuruali vilivyochanika na vyenye matobo?
 
Mbona ww umekalia makali na yeye ameshika mpini!? Jamani acheni mzee wa watu afanye kazi yake,yeye na ww nani demu?
 
Hivyo ni viatu vyake mwenye alivua na kushika mkononi yupo mchangani
 
Back
Top Bottom