Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,672
Walimponda sana humu,ooh mshika mkoba wa zari ooh amebambikiwa mimba,jamaa anamega tu.Diamond aliokota dume
Walimponda sana humu,ooh mshika mkoba wa zari ooh amebambikiwa mimba,jamaa anamega tu.Diamond aliokota dume
nngependa kumfahamu mtu huyu..WATOTO 6 lakini bado Titi zinavutia.
acha tuendlee na pete zetu za kijani mbakie na majarida yenu
mtu gan tena?nngependa kumfahamu mtu huyu..
yani acha tuWalimponda sana humu,ooh mshika mkoba wa zari ooh amebambikiwa mimba,jamaa anamega tu.
hatari... hata mimi nimeshituka, coz juzi tuu tuliambiwa amepata mtoto wa kiume anaitwa chibu junior,, mwenye taarifa kamili atupatie..Ina maana huyo zari hivi sasa Ana mimba tena? Sijuzi tu hapa kafyatua album mpya?
hiyo picha nadhani ilipigwa kabla hajajifungua huyo mwanaehatari... hata mimi nimeshituka, coz juzi tuu tuliambiwa amepata mtoto wa kiume anaitwa chibu junior,, mwenye taarifa kamili atupatie..
kuna picha zilisambaa hapa jf kajifungua mtoto wa kiume na picha zikawekwa na thread ilikua kubwa.. kama ile taarifa ni ya owongo nimeshtuka sana ....hiyo picha nadhani ilipigwa kabla hajajifungua huyo mwanae
Hao ndio wabongozDaimondi angeoa kadada kadogo kwake kenye mtoto 1 tu halafu hakama mpunga wa kutosha angetukanwa sana, ila single mother mwenye hela hata awe monopoziii wabongo watamsifia balaaa
MTOTO : Eti baba mwanaume ni nani?
BABA : Mwanaume ni mtu anyejali familia yake,anahakikisha wanapata mahitaji ya msingi na anailinda vyema.
MTOTO : Nikiwa mkubwa nataka niwe mwanaume kama mama.
Soma posts kwa makini ndugu.hatari... hata mimi nimeshituka, coz juzi tuu tuliambiwa amepata mtoto wa kiume anaitwa chibu junior,, mwenye taarifa kamili atupatie..
Kipya nikua kwenye cover yA ilo jalidaKuna kipi kipya hapo?Mbona hizo picha walishazipost Instagram kitambo hicho?
Wasingepost hizi picha hapo kabla wangeshtua sana.
Sana kabisaHuyu jamaa aliona mbali Sana ku date na zari
hater and looserKuna kipi kipya hapo?Mbona hizo picha walishazipost Instagram kitambo hicho?
Wasingepost hizi picha hapo kabla wangeshtua sana.