mkuu nilitaka kusema hivihivi.naona wazinzi wamepamba page, bibi na kimarioo chake
I totaly agree with you!!!!!!!!Jambo Zuri Sana
Hapo Ndipo Ninapo Amin Mapenz na nyota
Kuna watu ukiwa nao Wee utakuwa mtu wa visa na mikasa mabalaa na shida
Ila kuna watu ukiwa nao Furaha upendo mafanikio zitatawala
Angeendelea na yule wa zamani angeishia magazeti pendwa ya BongoHuyu jamaa aliona mbali Sana ku date na zari
Jambo Zuri Sana
Hapo Ndipo Ninapo Amin Mapenz na nyota
Kuna watu ukiwa nao Wee utakuwa mtu wa visa na mikasa mabalaa na shida
Ila kuna watu ukiwa nao Furaha upendo mafanikio zitatawala