Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

Wakati mwingine unaweza ukadhani kuwa akili za watanganyika huwa zinaganda na kuyeyuka...na hiyo inajidhihirisha kwa kujinasibisha na vitu vya kipuuzi ambavyo kwa mtu mwenye utimamu wa akili ni aghalabu kuvifanya ama kujinasibisha navyo...kwani kwenye maisha yake havina mantiki.......
Kibaya zaidi kuna watu wameshagundua upungufu wetu wa akili na uwezo wetu mdogo wa kuchanganua mambo...na wanaitumia njia hiyo kujiongezea kipato..na hatimaye kuwa matajiri......WAJINGA NDIO WALIWAO..
 
Umechelewa.....kwani.vp?bado upo idle?...ishakula kwakooo
wale wa efu tatu jamani changamkeni

hahahahahah.....................

FGS nimeolewa kabla wewe hata hujabalehe achilia mbali wanangu kuanza kusarandia mabinti, kabla wewe hujajifunza kuficha utupu wako

kama wewe ni mkereketwa wake mwambie yy hali yake nyongeza hadhi yake kuongezwa kwa mteja baada ya mauzo
 
Wema sepenga wapiiiii?

zari-party-3.jpg
 
mil 3 bora nikanunue shamba chalinze niweke ardhi kwa mwanangu et zari na domo nikichukua hiyo elfu 50 nawatoa family out na kujiongezea furaha ya familia mitaa ya home tu.

Wajinga ndio waliwaoo.
 
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy

ndugu yangu mzoea vya kunyonga kamwe vya kuchinja haviwezi....kutongoza si kazi Rahisi
 
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy

Kwann atafute wa size yake? Kuna sheria imeandikwa kwamba ni lazima mwanaume atafute wa size yake? Akishatafuta halafu?
 
kwann atafute wa size yake? Kuna sheria imeandikwa kwamba ni lazima mwanaume atafute wa size yake? Akishatafuta halafu?

hahahahaa...........kumbe yy hali yake bidhaa ya nyongeza
hadhi yake kuongezwa baada ya manunuzi sio?
 
kwann atafute wa size yake? Kuna sheria imeandikwa kwamba ni lazima mwanaume atafute wa size yake? Akishatafuta halafu?

mfikishie ujumbe mwambie yeye mita ya luku
bila kujazwa namba umeme hakuna
 
Mzinifu wa kiume hamuoi isipokuwa mzini wa kike ,na limeharamishwa hilo.kwa asiyekuwa mzinifu.qurani
 
Wakati mwingine unaweza ukadhani kuwa akili za watanganyika huwa zinaganda na kuyeyuka...na hiyo inajidhihirisha kwa kujinasibisha na vitu vya kipuuzi ambavyo kwa mtu mwenye utimamu wa akili ni aghalabu kuvifanya ama kujinasibisha navyo...kwani kwenye maisha yake havina mantiki.......
Kibaya zaidi kuna watu wameshagundua upungufu wetu wa akili na uwezo wetu mdogo wa kuchanganua mambo...na wanaitumia njia hiyo kujiongezea kipato..na hatimaye kuwa matajiri......WAJINGA NDIO WALIWAO..



yani ulivoongea sipunguzi wala kuongea neno.
 
usifanye mchezo na masharti ya sangoma...

ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy
 
Hehehe nyanya masalo nayo ina utamu wako. Ukiikaanga vizuri mchuzi wakolea rangi.
Napita mie
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy
 
hehehe nyanya masalo nayo ina utamu wako. Ukiikaanga vizuri mchuzi wakolea rangi.
Napita mie
heheheee............
Kumbee mwenzetu mita ya luku
umeme hakuna pasi kujazwa vocha sio?
 
Back
Top Bottom