Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

kyalankota

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
2,594
Reaction score
1,463
1430458108938.jpg
 
heri ukutwe na dubu aliyepoteza mtoto kuliko kukutana na mpumbavu katika upumbavu wake.

mith.11:7

hahahaha habari yako mheshimiwa , umekua mtu wa kwanza kunifanya nitabasam Leo

Vipi , wewe unaingilia ipi ?

Mil 3 ?
mil 1?
laki 1 ?
au 50 elf?

Ingekuwepo ya elf 20 hakyanan ningeenda , vp mwenzangu
 
hahahaha habari yako mheshimiwa , umekua mtu wa kwanza kunifanya nitabasam Leo

Vipi , wewe unaingilia ipi ?

Mil 3 ?
mil 1?
laki 1 ?
au 50 elf?

Ingekuwepo ya elf 20 hakyanan ningeenda , vp mwenzangu



mil 3 bora nikanunue shamba chalinze niweke ardhi kwa mwanangu et zari na domo nikichukua hiyo elfu 50 nawatoa family out na kujiongezea furaha ya familia mitaa ya home tu.
 
Wameona kuna fursa kwani bongo ndo kuna pesa kibao za mafisadi na wapiga dili wakaonelea bora wazisakanye kwanza, na watazipata tu kibao,
bongo fursa kibao
 
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy
 
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy

malaya hapati wa bikra
 
huyo mtoto mmoja tu akizaliwa tayari anakuwa na watoto wanne duuu. Hili dogo sijui likoje utazani limerogwa na waganda.
 
Hivi huyu dada anakibali au analipa tax kufanya biashara Tanzania hau ni raia wa Tanzania

swissme
 
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy

Target ya Diamond ni kupata mtu ambaye ni maarufu, ili aendelee kuwa kwenye magazeti na story! Kama unakumbuka wakati yuko na Penny alipotea kiaina midomoni mwa watu!

In short ni mapenzi na business! Anaangalia nyota.
 
mil 3 bora nikanunue shamba chalinze niweke ardhi kwa mwanangu et zari na domo nikichukua hiyo elfu 50 nawatoa family out na kujiongezea furaha ya familia mitaa ya home tu.

Pole yako...shamba huna na party umeikosa...kalaghabaho babu!!
Huna pesa!!!
 
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy

Umechelewa.....kwani.vp?bado upo idle?...ishakula kwakooo
wale wa efu tatu jamani changamkeni
 
Pole yako...shamba huna na party umeikosa...kalaghabaho babu!!
Huna pesa!!!



ila mkiugua usianze kutusumbua mara ohh tuchangieni pesa za matibau mara mazishi mara usanii kafia nje watanzania tuchangieni

yupo wapi matumla.

mzee ngurumo

sajuki

bondia cheka

jiz mabivu

ngwer


teseni usiweke akiba mwende paty ya mill 3 kwa masaa ukikamatwa mje kulilia kwenye tv
 
Back
Top Bottom