MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,223
- 6,719
Maneno kuntu hayo lakini sasa kuna watu kama wakina Le Mutuz kwenye mambo haya wala hawawezi kukuelewaWakati mwingine unaweza ukadhani kuwa akili za watanganyika huwa zinaganda na kuyeyuka...na hiyo inajidhihirisha kwa kujinasibisha na vitu vya kipuuzi ambavyo kwa mtu mwenye utimamu wa akili ni aghalabu kuvifanya ama kujinasibisha navyo...kwani kwenye maisha yake havina mantiki.......
Kibaya zaidi kuna watu wameshagundua upungufu wetu wa akili na uwezo wetu mdogo wa kuchanganua mambo...na wanaitumia njia hiyo kujiongezea kipato..na hatimaye kuwa matajiri......WAJINGA NDIO WALIWAO..