Umemmaliza kila kitu full stop Uzi ulitakiwa uishie hapa.Umeandika unachofikiria wewe bila kuwa na data zozote.
Ulipaswa kuwekwa facts hapa
Kwanza mikataba yao,
Pili wanaingiza kiasi gani
Tatu wasafi inawekeza kiasi gani kwenye kazi za hao wasanii
Ili uweze kuevaluate kama kuna unyonyaji ama LA.
Vinginevyo ni kelele tu.
Pia unachanganya habari, haieleweki haswa unalenga nini??
Sent using Jamii Forums mobile app