Diamond na Wasafi Media ni wanyonyaji sana

Umeandika unachofikiria wewe bila kuwa na data zozote.

Ulipaswa kuwekwa facts hapa
Kwanza mikataba yao,
Pili wanaingiza kiasi gani
Tatu wasafi inawekeza kiasi gani kwenye kazi za hao wasanii
Ili uweze kuevaluate kama kuna unyonyaji ama LA.

Vinginevyo ni kelele tu.

Pia unachanganya habari, haieleweki haswa unalenga nini??



Sent using Jamii Forums mobile app
Umemmaliza kila kitu full stop Uzi ulitakiwa uishie hapa.
 
Umeandika unachofikiria wewe bila kuwa na data zozote.

Ulipaswa kuwekwa facts hapa
Kwanza mikataba yao,
Pili wanaingiza kiasi gani
Tatu wasafi inawekeza kiasi gani kwenye kazi za hao wasanii
Ili uweze kuevaluate kama kuna unyonyaji ama LA.

Vinginevyo ni kelele tu.

Pia unachanganya habari, haieleweki haswa unalenga nini??



Sent using Jamii Forums mobile app
Question is Do you believe?
What are these unwanted words doing in your comment?
 
Sasa kwenye Mkataba kama hakuna kipengere cha kukukakatza wewe kuwa na yutyubu channel yako unaweweseka nini sasa,si ndio mahali pa kumkwara pesa huyo mwajiri wako akikuandikia barua ya kukuachisha kazi kwa sababu hizo?
 
Jonijo kaondoka nilijua lazima aondoke siku 1.

Pale Wasafi unachukua mshahara na huruhusiwi kuwa na YouTube channel, Jonijo alikuwa ana YouTube channel, sasa ameingia WASAFI akajua labda ataendeleza harakati zake akakutana don'ts nyingi ambazo hazipo kwenye Mkataba,. Times FM alipokuwepo Jonijo na Lil Ommy unaweza kuanzisha YouTube channel. Pale Mishahara midogo, wanapewa mishahara mikubwa ni wachache sana wengine wote uzushi tu, kajamaa kanajifanya kanasaidia jamii wakati hakalipi watumishi wake. Angalia hata wakina Iyobo ni maskini sana, kwa kazi wanazofanya bado wanalipwa laki 5 wengine 4.

Harmonize aliondoka kwa upuuzi kam huu, Msanii anapiga show analipwa asimilia 40 ya show, kwa kigezo eti tulikutoa. Mapato ya You tube unapewa 40 percent. Harmonize youtube yake tu aliingiza zaidi ya Millioni 900 za kitanzania lakini hata millioni 100 hakulamba kwenye YouTube, ukibsha naweka ushaidi.

Kituko kingine Rayvanny alitangaza anaenda nyumbani kwao mbeya kupiga show kwa kiingilio cha elfu 5..Diamond akatangaza Mbeya kiingilio bure..Unaambiwa gharama zote za Mbeya kuanzia uwanja..wasanii kuwalipia kila kitu amekatwa Rayvanny zaidi ya millioni 150. Yaani nitangaze show ya kiingilio uje useme ni bure then gharama zote akalipa Rayvanny.



Usione wasanii wa Wasafi wapo hivyo, hawana hela. Hivi unajua kwenye views millioni 1 za YouTube unapata km millioni 4.5 had -7.

Diamond umelalamika sana Ruge anakuonea mbona wewe hupigi nyimbo za Harmonize. Unasema Harmonize hapeleki nyimbo kwenu, vipi hao wakina Burna Boy wanapeleka nyimbo Wasafi?
Wivu utakuua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions from comments

1. Mashbaiki wengi wa diamond ni mashabiki maandazi yaani hamtaki jamaa yenu akosolewe, ushamba tu mmezidisha
2. naona watu wengi hamjui mapato ya youtube ya you tube yanavyopatikana, harmonize kafifkisha views zaidi ya millionn300..gawanya views kwa 1000 then zidisha na dollar 2 (4400) au 3 (6600) ni zaidi ya billioni 1. Poleni sana.
hivi mnajua Millard anaingiza zaidi ya billioni 3 kwa kwa mwaka kwa youtube tu.
 
Afu media yao ni ya kipuuz sana mara esma kanunua gari inakua hbr mara mama dangote kaachana na kiben ten nayo ni hbr on air..

Its not over until its over...
 
Reactions from comments

1. Mashbaiki wengi wa diamond ni mashabiki maandazi yaani hamtaki jamaa yenu akosolewe, ushamba tu mmezidisha
2. naona watu wengi hamjui mapato ya youtube ya you tube yanavyopatikana, harmonize kafifkisha views zaidi ya millionn300..gawanya views kwa 1000 then zidisha na dollar 2 (4400) au 3 (6600) ni zaidi ya billioni 1. Poleni sana.
hivi mnajua Millard anaingiza zaidi ya billioni 3 kwa kwa mwaka kwa youtube tu.
Propaganda zako kapeleke fb ndo mahala pake hili Ni jukwaa la great thinkers
 
Reactions from comments

1. Mashbaiki wengi wa diamond ni mashabiki maandazi yaani hamtaki jamaa yenu akosolewe, ushamba tu mmezidisha
2. naona watu wengi hamjui mapato ya youtube ya you tube yanavyopatikana, harmonize kafifkisha views zaidi ya millionn300..gawanya views kwa 1000 then zidisha na dollar 2 (4400) au 3 (6600) ni zaidi ya billioni 1. Poleni sana.
hivi mnajua Millard anaingiza zaidi ya billioni 3 kwa kwa mwaka kwa youtube tu.
Tunataka USHAHIDI,ambao wewe ulisema unao.

Alafi tuwekee na USHAHIDI wa MILLARD AYO.
 
Jonijo kaondoka nilijua lazima aondoke siku 1.

Pale Wasafi unachukua mshahara na huruhusiwi kuwa na YouTube channel, Jonijo alikuwa ana YouTube channel, sasa ameingia WASAFI akajua labda ataendeleza harakati zake akakutana don'ts nyingi ambazo hazipo kwenye Mkataba,. Times FM alipokuwepo Jonijo na Lil Ommy unaweza kuanzisha YouTube channel. Pale Mishahara midogo, wanapewa mishahara mikubwa ni wachache sana wengine wote uzushi tu, kajamaa kanajifanya kanasaidia jamii wakati hakalipi watumishi wake. Angalia hata wakina Iyobo ni maskini sana, kwa kazi wanazofanya bado wanalipwa laki 5 wengine 4.

Harmonize aliondoka kwa upuuzi kam huu, Msanii anapiga show analipwa asimilia 40 ya show, kwa kigezo eti tulikutoa. Mapato ya You tube unapewa 40 percent. Harmonize youtube yake tu aliingiza zaidi ya Millioni 900 za kitanzania lakini hata millioni 100 hakulamba kwenye YouTube, ukibsha naweka ushaidi.

Kituko kingine Rayvanny alitangaza anaenda nyumbani kwao mbeya kupiga show kwa kiingilio cha elfu 5..Diamond akatangaza Mbeya kiingilio bure..Unaambiwa gharama zote za Mbeya kuanzia uwanja..wasanii kuwalipia kila kitu amekatwa Rayvanny zaidi ya millioni 150. Yaani nitangaze show ya kiingilio uje useme ni bure then gharama zote akalipa Rayvanny.


Usione wasanii wa Wasafi wapo hivyo, hawana hela. Hivi unajua kwenye views millioni 1 za YouTube unapata km millioni
4.5 had -7.Diamond umelalamika sana Ruge anakuonea mbona wewe hupigi nyimbo za Harmonize. Unasema Harmonize hapeleki nyimbo kwenu, vipi hao wakina Burna Boy wanapeleka nyimbo Wasafi?


Reactions from comments

1. Mashbaiki wengi wa diamond ni mashabiki maandazi yaani hamtaki jamaa yenu akosolewe, ushamba tu mmezidisha
2. naona watu wengi hamjui mapato ya youtube ya you tube yanavyopatikana, harmonize kafifkisha views zaidi ya millionn300..gawanya views kwa 1000 then zidisha na dollar 2 (4400) au 3 (6600) ni zaidi ya billioni 1. Poleni sana.
hivi mnajua Millard anaingiza zaidi ya billioni 3 kwa kwa mwaka


naomba nikuulize, kwa promo hii anayopata zuchu, ungekuwa wewe ungemlipa shilingi ngapi kwa shoo? je akidai kuondoka atakulipa pesa ngapi? hivi zuchu bila wasafi namzidi nandy au kina vanessa?
 
Hiyo mikataba wanapewa na kukubaliana nayo kabla ama? maana kama mtu ulisoma ukaelewa na ukakubaliana na mkataba husika kwa nn ulalamike? Mleta mada nawewe pia unashindwa kuwa na fikra pevu. Maana ww unafikiri mtu kama zuchu angeweza kufikisha viewers kwa single video 1m, ama angeweza kutoa video zenye ubora ule… kampuni inagharamia mambo mengi sana. Msipotoshe watu kwa mambo ya kizushi.. Mtu kama harmonize unafikiri jina lake lingekuwa liko juu hivyo.. Nitajie msanii mmoja tu aliye nje ya wasafi ama chini ya management yoyote nyingine anayefanya vizuri Zaidi ya watu kama akina Mboso, Rayvanny, ama hata laval

umesema sawa, muulize jamaa kama anajua kuwa youtube inapata hela kwa tangazo. kama anajua muulize kwa nini halalamiki pale youtube wanapochukua 45% ya pesa yote ya matangazo wakati hawajatoa hata mia kugharimu pesa za kutengeza video
 
Clouds iliyochangamka iyo cause unatengeneza jina na umaarufu lakini mfukoni mtupu....
 
Clouds iliyochangamka iyo cause unatengeneza jina na umaarufu lakini mfukoni mtupu....
Kwani Clouds ni music label? Hivi kwanini wote waliosikika kunyonywa/kutapeliwa sijawahi sikia wakienda kushitaki hizi kampuni mahakamani? Wanapataje haki zao?
 
Wakiwa wanaingia hai watu huwa hawaioni hiyo mikataba? Au ni mpaka baadae ndo macho yanafunguka? ... kama kila kitu kipo kwenye mkataba kwann usikatae toka mwanzo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida wanaolaumu WASAFI wanasahau kuangalia LIFE BEFORE WASAFI na LIFE AFTER WASAFI plus uwekezaji waliofanya na ndio maana wanaona kama wanyonyaji wakati ukweli ni kwamba mtu alipoingia alikuwa hamna uhakika kama watatengeneza hela hivyo wanafanya uwekezaji then mtu anapata jina na kuanza kutengeneza hela ambazo kimsingi zinakuwa bado hazijarudishwa lakini wananzengo wanaishia kusema wanawanyonya.

Na wengi wanaosema hivyo hawajawahi hata kuingia mkataba wa ajira yoyote maana hata kwenye ajira za kawaida tu ili mtu aweze kuvunja mkataba anatakiwa atoe notice ya mwezi mmoja vinginevyo ili aondoke bila notice anatakiwa amlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja, sasa sembuse mtu ambae amewekeza hela yako kwake yaani ni sawa na mtu akusomeshe degree miaka mitatu kwa lengo la kumfanyia kazi alafu from nowhere hata miaka miwili hujamaliza unataka kuondoka (hapo ndo watu wanakutana na vigezo na masharti wanaishia kulalamika wamenyonywa)

Mikataba huwa inajadilika hasa pale mtu anapoonyesha tija
 
Back
Top Bottom