Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,774
- 24,209
Hii ni orodha ya wanamuziki wa kiume Tanzania waliotazamwa zaidi YouTube kwa muda wote, ambapo wasanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz na rayvanny wameongoza.
1. Diamond Platnumz 2.2B
2. Rayvanny 955M
3. Harmonize 933M
4. Mbosso 567M
5. Alikiba 265M
6. Lava Lava 237M
7. Aslay 191M
8. Marioo 174M
9. Sifaeli Mwambuka 139M
10. Christopher Mwahangila 118M
Enzi yupo na Baada ya kujitoa pale mjini WCB Harmonize alikuwa anamfuatia Diamond kwa views, lakini sasa ni watatu.
Je, yaw yaw, ameanza kukata moto?
1. Diamond Platnumz 2.2B
2. Rayvanny 955M
3. Harmonize 933M
4. Mbosso 567M
5. Alikiba 265M
6. Lava Lava 237M
7. Aslay 191M
8. Marioo 174M
9. Sifaeli Mwambuka 139M
10. Christopher Mwahangila 118M
Enzi yupo na Baada ya kujitoa pale mjini WCB Harmonize alikuwa anamfuatia Diamond kwa views, lakini sasa ni watatu.
Je, yaw yaw, ameanza kukata moto?