Eshy m.s
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,926
- 1,559
eeh mama,lazima tuzikusanye tu maana hamna namna!family kubwa na bora!ijapokua tumefukizwa Palace ila bado tuko gadooo
Teh teh mie simooo💃💃
eeh mama,lazima tuzikusanye tu maana hamna namna!family kubwa na bora!ijapokua tumefukizwa Palace ila bado tuko gadooo
Tune in kuanzia saa nne usiku Mtv base na BET
Teh teh mie simooo💃💃
Wanaonyesha bet ipi ile yenywe ch. 129 au bet 2
Wanaonyesha bet ipi ile yenywe ch. 129 au bet 2
DSTV
+MTV channel 130
+MTV BASE channel 322
+BET channel 129
wale wa star tv tutasimuliana hahahaha
Guuuudooooo!!yaani hapa sijui nianze kupiga kura wapi jamani
NEA,UEA,USA khaaaa kama kuna zingine nimesahau mtanikumbusha jamani maaa ni nyingi mpaka nimepagawa?!
teh teh teh mkuu umenichekesha
UEA tumesha chukuwa isikupe tabu..
Challenge kubwa ni kwenye hizi mbili zilizobaki kwa sababu ndio tunaanza, na bado wengi hawajapiga kura
DSTV
+MTV channel 130
+MTV BASE channel 322
+BET channel 129
wale wa star tv tutasimuliana hahahaha
nahisi itakua ni hiyohiyo 129 maana ile 135 BET2 iko kweye package ndogo na hawa jamaa wanapenda sana pesa,sidhani kama itaonyeshwa 135
DSTV
+MTV channel 130
+MTV BASE channel 322
+BET channel 129
wale wa star tv tutasimuliana hahahaha
Teh teh utanisimulia bestie
hahaha team wasafi huwezi kupitwa na kitu.. Tutakuwepo live humu ndani
DSTV
+MTV channel 130
+MTV BASE channel 322
+BET channel 129
wale wa star tv tutasimuliana hahahaha
Tuzo hizo ni nyepesi sana hazina hadhi ndiomana hata wizkd kamuaachia mtoto wa uncle wake azipost insta ila siyo yeye.