kama ni hivyo kazi ipo...ila kitu cha nidanganye kimenibamba ile mbaya nahofia kisije funika mama kimbo ya mkali wetu wa kinoshosti..bongo unaijua!kila hatua ukipiga kimaendeleo unapata washkaji wapya!shetta au ommy wanaweza kumshauri nini diamond zaidi ya kusikia raha kuhang naye!ila atashauriwa ni yeye kusikiliza au kupoteza!