Diamond mdomo huu vip tena?

shosti..bongo unaijua!kila hatua ukipiga kimaendeleo unapata washkaji wapya!shetta au ommy wanaweza kumshauri nini diamond zaidi ya kusikia raha kuhang naye!ila atashauriwa ni yeye kusikiliza au kupoteza!
kama ni hivyo kazi ipo...ila kitu cha nidanganye kimenibamba ile mbaya nahofia kisije funika mama kimbo ya mkali wetu wa kino
 
shosti..mr nice anang'aa sana masai club kinondoni kwakweli anatia huruma hata hao madem anaohang nao ni aibu!amekuwa na heshima hata kama mtu hamjui atamsalimia tena kwa kumuita kaka!umaarufu wa bongo nauogopa nikimuona mr nice!tujifunzeni....maisha ya mr nice kwangu ni somo!
huwa namuona mitaani ila kimziki ndo basi tena ndo hicho nilichokuwa namaanisha...naye alikuwa hivi hivi kama anatumia kizizi aisee
 
Sijui na mimi nina pink eyes er ..red eyes? maana hii rangi ya huu mdomo sielewi elewi!
 
hivi mkuu BAGAH kuna mtu alipata nafasi ya kumuomba Mungu amuumbe jinsi ya huyo mtu atakavyo au diamond na sisi wote tumejikuta tu tuko kama tulivyo?
Tusihoji wala kudhihaki kazi za mikono ya Mungu.
Wewe watu wanashanga rangi sio muundo wa mdomo!toka usingizini!
 
Last edited by a moderator:
kama ni hivyo kazi ipo...ila kitu cha nidanganye kimenibamba ile mbaya nahofia kisije funika mama kimbo ya mkali wetu wa kino
Nidanganye nimeikubali!kale ka shette kana bahati ya kugongewa chorus kali!bonge la nyimbo!@shosti..audio mama kimbo inaweza ikamezwa na nidanganye ila video!mama kimbo itatisha!kule kijana wetu muonekano si upo ndo atapopoteza!mavazi show kaisimamia sheria ngowi mwenyewe!unategemea nini!kitu kizuri pia live show mkali wa kino yuko fit n unajua nini?labda ratiba ziingiliane ila show nyingi platinumz hupenda kuwa na mkali akimsindikiza!platinumz wetu na tutamrekebisha tu!
 
jmushi1 wewe hujamshitukia mleta mada,amini usiamini lengo lake sio kusema lipstick,huyu anapenda sana kukosoa binadamu wenzake,hapa mi nakwambia alikua anataka watu waanze ooh chai jaba sijui domo kubwa,mim najua sijakamilika lkn yeye kwa vile amekamilika na ana guarentee kuwa atazeeka hadi kufa bila kupata ajali yakumpa ulemavu wa aina yeyote basi namuomba aweke picha yake hapa tumpe hongera zake.Ila kama yeye ni handsome basi Mungu huyo huyo aliyemfanya yeye handsome ndiye aliyemfanya mtoto wa watu kuwa na mdomo ambao wao kumdhihaki.Hata hivyo mim sion kasoro ya huyu kijana wa watu.

kweli wee mjanja wa mujini kumbe unaijua ndovu special malt,big up.


vinyakunyaku.com


tunajua lengo langu ulitaka watu waseme mdomo wake ni mkubwa ili ufurahi,weka picha basi tuone wa kwako ulivyo mdogo kama alama.Ukute nyie ndo full hadi kope za bandia,wanja na mikorogo juu.

umeonaeee,bora na wewe umemshitukia kuwa hapa alikua haoji lipstick alikua tu anataka watu waseme eti diamond ana mdomo mkubwa.Aweke picha yake tumuone yeye alivyo handsome usikute sura ka anachomwa sindano.

hahaha.. cheusimangala kama nakuona vile unavojaribu kutumia nguvu nyingi!..aya ndugu aendelea kununia gizani!..
 
Last edited by a moderator:
Wallah sijawahi kukusoma ukiwa umekasirika hivi!!!

Hakika leo utakuwa umechukizwa sana na hawa vinyakunyaku...

hata mi cja penda wanavyo muongea platinamu we2 watz mwachen bna jama mkali2 mpende msipende legrema mkali anatafuna pesa mpaka muuione dunia chungu mta jiju wenye roho mbaya ya chuki na wivu kwendeni zenu huko
na we unaeokosoa maumbile ya mdomo wake wako upoje na fikiria bna co kukurupuka 2 huo ni uduwanz au ulimbukeni wako hebu peleka wivu huko.
 
wengi wenu mnaomsema diamond umaarufu wenu unaishia chit chat,MMU na jukwaa la kikubwa kwa majina feki period,hata awe na domo kubwa,apake eye shadow au wanja ukweli utabaki pale pale kuwa hata mumponde vipi Diamond anapendwa na warembo ambao wengi humu mtakufa bila hata kupata salamu zao,mko busy kumsema mwenzenu yuko busy kuingiza pesa ambazo nina uhakika wengi wenu humu mshazeeka hamjawahi kuzishika,diamond ni superstar mkubwa bongo wakati wengine humu hata ustar wa shule za msingi hamkuwahi kuupata.Wivu tu,nahisi wanaomponda diamond huku wengi wao ni vibibi na vibabu sema ndo hivyo nyuma ya avatar kila mtu anajifanya wamo,wengine humu choka mbaya hata hela ya nauli ya kushikia mkuki wa daladala ya kesho kwenda posta kuomba ajira hawajui watapata wapi lakini wanajiona wa maana kiasi cha kumkashifu mtoto wa watu ambaye kawazidi kila angle.Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe,debe lisilo na kitu kutwa kupiga makelele ya kipuudhi,mnatamani kuwa diamond ndo mana mnadhani mkimponda mtamshusha awe level yenu.Get a life loosers.

Maisha yame wapiga wanabaki kujadili watu.
wivu mbaya sana.
 
Martina hapa hapo!!!!!

Ina maana size ya mdomo ni sawa na size ya......?????


Okada hapo kwenye swali lako mkuu umetisha so kula gwara! ila Marytina tafadhali njoo ujibu swali lako hapa maana we ni ke ndie ulietoa dibaj so we believe majbu unayo na unachokinena!!
 
Back
Top Bottom