Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
hivi diamond ana kasoro gani jamani,kuna viumbe humu wanatia hasira nahisi ban linaninukia,watu wana midomo mirefu ya kukosoa wenzao walivyoumbwa utadhani changudoa lililorushwa malipo na mteja kule kinondoni makaburini.Kuna siku watu watasutwa humu na matarumbeta kwa umbea wa kuonea wenzao wivu,midomo mirefuuu kama chuchunge,kinachonikasirisha kwanza kabisa diamond hajajiumba mwenyewe,pili yeye ni mwanaume mnataka awe beutiful ili iweje,tatu lips zake ni nyekundu hajapaka lipstick,nne anahitaji support yetu sababu yeye ni kijana mwenzetu alietoka katika mazingira magumu akafight mpaka leo hii kidogo maisha yake na mamake yana uhakika,je mnamvunja moyo mnefurahi kama angeishia kuwa teja au kibaka atuubie pochi zetu?Dimond ni fighter,amefight peke yake bila kusaidiwa wakati wengi wetu humu hata viajira tulivyonavyo vinavyosaidia tuwe na access ya internet ya bure tumevipata kwa msaada wa kupigiwa cross na wajomba na baba wadogo,hivi unafikiri mtoto wa watu anajisikiaje anapokosolewa kitu ambacho hawezi kukibadilisha,au akafanye plastic sugery awe kama m.jackson ili maloosers mpate jipya la kusema.Wengi humu hamna lolote mbele ya huyu kijana mnajishongondoa tu sbb mmejificha nyuma ya avatar wekeni picha basi tuwaone mlivyo mahandsome au ukute mnasura mbaya ka mmeegesha chafya.Acheni mawivu ya kizamani,kijana yuko hata nyie wenyewe mnamkubali.
Wallah sijawahi kukusoma ukiwa umekasirika hivi!!!
Hakika leo utakuwa umechukizwa sana na hawa vinyakunyaku...