Diamond mdomo huu vip tena?

hivi diamond ana kasoro gani jamani,kuna viumbe humu wanatia hasira nahisi ban linaninukia,watu wana midomo mirefu ya kukosoa wenzao walivyoumbwa utadhani changudoa lililorushwa malipo na mteja kule kinondoni makaburini.Kuna siku watu watasutwa humu na matarumbeta kwa umbea wa kuonea wenzao wivu,midomo mirefuuu kama chuchunge,kinachonikasirisha kwanza kabisa diamond hajajiumba mwenyewe,pili yeye ni mwanaume mnataka awe beutiful ili iweje,tatu lips zake ni nyekundu hajapaka lipstick,nne anahitaji support yetu sababu yeye ni kijana mwenzetu alietoka katika mazingira magumu akafight mpaka leo hii kidogo maisha yake na mamake yana uhakika,je mnamvunja moyo mnefurahi kama angeishia kuwa teja au kibaka atuubie pochi zetu?Dimond ni fighter,amefight peke yake bila kusaidiwa wakati wengi wetu humu hata viajira tulivyonavyo vinavyosaidia tuwe na access ya internet ya bure tumevipata kwa msaada wa kupigiwa cross na wajomba na baba wadogo,hivi unafikiri mtoto wa watu anajisikiaje anapokosolewa kitu ambacho hawezi kukibadilisha,au akafanye plastic sugery awe kama m.jackson ili maloosers mpate jipya la kusema.Wengi humu hamna lolote mbele ya huyu kijana mnajishongondoa tu sbb mmejificha nyuma ya avatar wekeni picha basi tuwaone mlivyo mahandsome au ukute mnasura mbaya ka mmeegesha chafya.Acheni mawivu ya kizamani,kijana yuko hata nyie wenyewe mnamkubali.

Wallah sijawahi kukusoma ukiwa umekasirika hivi!!!

Hakika leo utakuwa umechukizwa sana na hawa vinyakunyaku...
 
wengi wenu mnaomsema diamond umaarufu wenu unaishia chit chat,MMU na jukwaa la kikubwa kwa majina feki period,hata awe na domo kubwa,apake eye shadow au wanja ukweli utabaki pale pale kuwa hata mumponde vipi Diamond anapendwa na warembo ambao wengi humu mtakufa bila hata kupata salamu zao,mko busy kumsema mwenzenu yuko busy kuingiza pesa ambazo nina uhakika wengi wenu humu mshazeeka hamjawahi kuzishika,diamond ni superstar mkubwa bongo wakati wengine humu hata ustar wa shule za msingi hamkuwahi kuupata.Wivu tu,nahisi wanaomponda diamond huku wengi wao ni vibibi na vibabu sema ndo hivyo nyuma ya avatar kila mtu anajifanya wamo,wengine humu choka mbaya hata hela ya nauli ya kushikia mkuki wa daladala ya kesho kwenda posta kuomba ajira hawajui watapata wapi lakini wanajiona wa maana kiasi cha kumkashifu mtoto wa watu ambaye kawazidi kila angle.Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe,debe lisilo na kitu kutwa kupiga makelele ya kipuudhi,mnatamani kuwa diamond ndo mana mnadhani mkimponda mtamshusha awe level yenu.Get a life loosers.

Acha kutoka povu kwa unazi..wanachokisema watu ni kupaka lipstick sio kuhusu uumbaji wa mungu.

Hiyo ni lipstick inaonekana kabsa usijitie upofu na haipendezi mwanaume mwanaume kuwa na tabia za kishoga ka diamond lazima tuseme!! Apparently,you too need get a life-other than huo ushabiki maandazi!
 
Acha kutoka povu kwa unazi..wanachokisema watu ni kupaka lipstick sio kuhusu uumbaji wa mungu.

Hiyo ni lipstick inaonekana kabsa usijitie upofu na haipendezi mwanaume mwanaume kuwa na tabia za kishoga ka diamond lazima tuseme!! Apparently,you too need get a life-other than huo ushabiki maandazi!
Mtundu Kisu tatizo wewe diamond unamjulia kwenye jukwaa la picha ndo maana ,mi namjua tokea anauza mitumba, lips zake ni nyekundu,hajapaka lipstick,mi naona kapaka lip balm kitu ambacho si ajabu kwa wanaume kufanya.
Na hata kama kapaka wee kinakupunguzia nini,wewe kama wa maana sana nenda jukwaa la great thinkers au siasa ukajadili jinsi ya kuikomboa nchi,haya mambo ya kujadili lipsticks tuachieni dada zenu mkisutwa msiseme sijawakanya.
 
Last edited by a moderator:
wengi wenu mnaomsema diamond umaarufu wenu unaishia chit chat,MMU na jukwaa la kikubwa kwa majina feki period,hata awe na domo kubwa,apake eye shadow au wanja ukweli utabaki pale pale kuwa hata mumponde vipi Diamond anapendwa na warembo ambao wengi humu mtakufa bila hata kupata salamu zao,mko busy kumsema mwenzenu yuko busy kuingiza pesa ambazo nina uhakika wengi wenu humu mshazeeka hamjawahi kuzishika,diamond ni superstar mkubwa bongo wakati wengine humu hata ustar wa shule za msingi hamkuwahi kuupata.Wivu tu,nahisi wanaomponda diamond huku wengi wao ni vibibi na vibabu sema ndo hivyo nyuma ya avatar kila mtu anajifanya wamo,wengine humu choka mbaya hata hela ya nauli ya kushikia mkuki wa daladala ya kesho kwenda posta kuomba ajira hawajui watapata wapi lakini wanajiona wa maana kiasi cha kumkashifu mtoto wa watu ambaye kawazidi kila angle.Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe,debe lisilo na kitu kutwa kupiga makelele ya kipuudhi,mnatamani kuwa diamond ndo mana mnadhani mkimponda mtamshusha awe level yenu.Get a life loosers.
Duh!

Umekasirika sana bibiye.

Kukosoa kazi ya mwenyezi Mungu si jambo jema, lakini mimi sikudhani kama huyu mleta hoja amekosoa maumbile ya Diamond.

Nadhani wasi wasi wake ni kuhusu lipstick, however mtu kama wewe unayeonekana kumfahamu Diamond vyema, ungemwelewesha tu mleta mada kama ulivyojaribu kwenye bandiko lako lililofuatia, lakini duh!

Neways, pole sana bidada.
 
Mtundu Kisu tatizo wewe diamond unamjulia kwenye jukwaa la picha ndo maana ,mi namjua tokea anauza mitumba, lips zake ni nyekundu,hajapaka lipstick,mi naona kapaka lip balm kitu ambacho si ajabu kwa wanaume kufanya.
Na hata kama kapaka wee kinakupunguzia nini,wewe kama wa maana sana nenda jukwaa la great thinkers au siasa ukajadili jinsi ya kuikomboa nchi,haya mambo ya kujadili lipsticks tuachieni dada zenu mkisutwa msiseme sijawakanya.

hakika wewe ni wema sepetu...mana ilo povu la ndovu special malt limepanda si kitoto...
 
Last edited by a moderator:
niliwaambia hao nikajua watarmv hyõ post lakn wap wanazd kumdc mtt wa wa2 ili hali yy hana korsa anzen kumkosoa alyemuumba cz yy amajtkuta yuko hvyo ! Kama vp na we weka pcha yako 2kuone ulvyo aaklf wa2 wa coment t ujijue muonekano wakko kupitia wa2

we na wewe subiria chei chei...tutolee harufu ya maziwa hapa!...
 
hivi diamond ana kasoro gani jamani,kuna viumbe humu wanatia hasira nahisi ban linaninukia,watu wana midomo mirefu ya kukosoa wenzao walivyoumbwa utadhani changudoa lililorushwa malipo na mteja kule kinondoni makaburini.Kuna siku watu watasutwa humu na matarumbeta kwa umbea wa kuonea wenzao wivu,midomo mirefuuu kama chuchunge,kinachonikasirisha kwanza kabisa diamond hajajiumba mwenyewe,pili yeye ni mwanaume mnataka awe beutiful ili iweje,tatu lips zake ni nyekundu hajapaka lipstick,nne anahitaji support yetu sababu yeye ni kijana mwenzetu alietoka katika mazingira magumu akafight mpaka leo hii kidogo maisha yake na mamake yana uhakika,je mnamvunja moyo mnefurahi kama angeishia kuwa teja au kibaka atuubie pochi zetu?Dimond ni fighter,amefight peke yake bila kusaidiwa wakati wengi wetu humu hata viajira tulivyonavyo vinavyosaidia tuwe na access ya internet ya bure tumevipata kwa msaada wa kupigiwa cross na wajomba na baba wadogo,hivi unafikiri mtoto wa watu anajisikiaje anapokosolewa kitu ambacho hawezi kukibadilisha,au akafanye plastic sugery awe kama m.jackson ili maloosers mpate jipya la kusema.Wengi humu hamna lolote mbele ya huyu kijana mnajishongondoa tu sbb mmejificha nyuma ya avatar wekeni picha basi tuwaone mlivyo mahandsome au ukute mnasura mbaya ka mmeegesha chafya.Acheni mawivu ya kizamani,kijana yuko hata nyie wenyewe mnamkubali.
bora umewambia wana kera sana,wanasahau hawajafa hawajaumbika,chakushangaza wanaume wanaanza kumchambua mwanaume mwenzao kama mabinti!!! ina sikitisha sana! diomond ni mwanaume mwenzetu tumrekebishe anapokosea siyo kumtukana! sidhani kama design ya wanaume wa namna hii wana faa humu jf! basi kila mtu aweke picha yake tuione kama amekamilika, na nia ya hii thread si kuoji swala la lipstic inaonekana wazi .
 
Duh!

Umekasirika sana bibiye.

Kukosoa kazi ya mwenyezi Mungu si jambo jema, lakini mimi sikudhani kama huyu mleta hoja amekosoa maumbile ya Diamond.

Nadhani wasi wasi wake ni kuhusu lipstick, however mtu kama wewe unayeonekana kumfahamu Diamond vyema, ungemwelewesha tu mleta mada kama ulivyojaribu kwenye bandiko lako lililofuatia, lakini duh!

Neways, pole sana bidada.
jmushi1 wewe hujamshitukia mleta mada,amini usiamini lengo lake sio kusema lipstick,huyu anapenda sana kukosoa binadamu wenzake,hapa mi nakwambia alikua anataka watu waanze ooh chai jaba sijui domo kubwa,mim najua sijakamilika lkn yeye kwa vile amekamilika na ana guarentee kuwa atazeeka hadi kufa bila kupata ajali yakumpa ulemavu wa aina yeyote basi namuomba aweke picha yake hapa tumpe hongera zake.Ila kama yeye ni handsome basi Mungu huyo huyo aliyemfanya yeye handsome ndiye aliyemfanya mtoto wa watu kuwa na mdomo ambao wao kumdhihaki.Hata hivyo mim sion kasoro ya huyu kijana wa watu.
hakika wewe ni wema sepetu...mana ilo povu la ndovu special malt limepanda si kitoto...
kweli wee mjanja wa mujini kumbe unaijua ndovu special malt,big up.

Nyani Ngabu kumbe na wewe mwimba taarabu ndugu yangu?...vinyakunyaku ndo nn sasa?
vinyakunyaku.com

ruttashobolwa kama kukamilika ni kupa lipstick...mimi sijakamilika!tafadhali kama mtu hajaelewa mada sio lazima uandike kitu!
tunajua lengo langu ulitaka watu waseme mdomo wake ni mkubwa ili ufurahi,weka picha basi tuone wa kwako ulivyo mdogo kama alama.Ukute nyie ndo full hadi kope za bandia,wanja na mikorogo juu.
bora umewambia wana kera sana,wanasahau hawajafa hawajaumbika,chakushangaza wanaume wanaanza kumchambua mwanaume mwenzao kama mabinti!!! ina sikitisha sana! diomond ni mwanaume mwenzetu tumrekebishe anapokosea siyo kumtukana! sidhani kama design ya wanaume wa namna hii wana faa humu jf! basi kila mtu aweke picha yake tuione kama amekamilika, na nia ya hii thread si kuoji swala la lipstic inaonekana wazi .
umeonaeee,bora na wewe umemshitukia kuwa hapa alikua haoji lipstick alikua tu anataka watu waseme eti diamond ana mdomo mkubwa.Aweke picha yake tumuone yeye alivyo handsome usikute sura ka anachomwa sindano.
 
Last edited by a moderator:
Mtundu Kisu tatizo wewe diamond unamjulia kwenye jukwaa la picha ndo maana ,mi namjua tokea anauza mitumba, lips zake ni nyekundu,hajapaka lipstick,mi naona kapaka lip balm kitu ambacho si ajabu kwa wanaume kufanya.
Na hata kama kapaka wee kinakupunguzia nini,wewe kama wa maana sana nenda jukwaa la great thinkers au siasa ukajadili jinsi ya kuikomboa nchi,haya mambo ya kujadili lipsticks tuachieni dada zenu mkisutwa msiseme sijawakanya.

kwahiyo wewe unakubaliana na suala la mwanaume kupaka wanja? Hata kama ni utandawazi siyo kiivyo jamii isipomkemea iposiku atapanda jukwaani akiwa amevaa gauni sijui nalo mtamteteaje?
 
Last edited by a moderator:
kwahiyo wewe unakubaliana na suala la mwanaume kupaka wanja? Hata kama ni utandawazi siyo kiivyo jamii isipomkemea iposiku atapanda jukwaani akiwa amevaa gauni sijui nalo mtamteteaje?

bwana wee usinihoji maswali yasiyo na kichwa wala miguu,mwanaume kupaka lipstick huo ni ushoga na mim sikubaliani na ushoga,Majibu ya ulichouliza yapo hapo kwenye coment yangu uliyonukuu lkn hujaelewa chochote,tafuta ndugu yako mwenye akili kukushinda asome hiyo coment yangu uliyoquote kisha akishaielewa akufafanulie kwa style ambayo unaweza kuelewa maana mim kama hujaelewa hicho ulichoquote sidhan kama nina weza kukuelewesha.
 
Kama masihara sasa maongezi ya burudani bila diamond hayajawa maongezi!mkali platinumz mwaka wako huu mnyama!...msafi,anapiga pamba zinampendeza na hana kitambi,anamiliki watoto wakali,ana kipaji,msanii wa bongo anayelipwa vizuri katika show zake......tatizo lake ni dogo sijajua kama ni ushamba,kukosa elimu au ulimbukeni!akijirekebisha hapa huyu mkali atakimbiza katika game kwa miaka mingi!
 
Kama masihara sasa maongezi ya burudani bila diamond hayajawa maongezi!mkali platinumz mwaka wako huu mnyama!...msafi,anapiga pamba zinampendeza na hana kitambi,anamiliki watoto wakali,ana kipaji,msanii wa bongo anayelipwa vizuri katika show zake......tatizo lake ni dogo sijajua kama ni ushamba,kukosa elimu au ulimbukeni!akijirekebisha hapa huyu mkali atakimbiza katika game kwa miaka mingi!
sasa wadau kama nyie si ndo wa kumuelekeza wapi anapokosea..unadhani ukiwa unafanya jambo la ajabu mwenyewe unajijua basi mkumbusheni mr nice enzi zile sijui kafia wapi siku hizi
 
sasa wadau kama nyie si ndo wa kumuelekeza wapi anapokosea..unadhani ukiwa unafanya jambo la ajabu mwenyewe unajijua basi mkumbusheni mr nice enzi zile sijui kafia wapi siku hizi

shosti..bongo unaijua!kila hatua ukipiga kimaendeleo unapata washkaji wapya!shetta au ommy wanaweza kumshauri nini diamond zaidi ya kusikia raha kuhang naye!ila atashauriwa ni yeye kusikiliza au kupoteza!
 
Last edited by a moderator:
sasa wadau kama nyie si ndo wa kumuelekeza wapi anapokosea..unadhani ukiwa unafanya jambo la ajabu mwenyewe unajijua basi mkumbusheni mr nice enzi zile sijui kafia wapi siku hizi

shosti..mr nice anang'aa sana masai club kinondoni kwakweli anatia huruma hata hao madem anaohang nao ni aibu!amekuwa na heshima hata kama mtu hamjui atamsalimia tena kwa kumuita kaka!umaarufu wa bongo nauogopa nikimuona mr nice!tujifunzeni....maisha ya mr nice kwangu ni somo!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom