Diamond - Mdogomdogo (Video na Lyrics)

Diamond - Mdogomdogo (Video na Lyrics)

wewe ndio babu tale? diamond ndio anapotea wewe unaona kuna haters? wewe unadhani hata video ya thriller ya Michael Jackson ingevunja rekodi kama audio ingekuwa ushuzi mtupu kama hii ya diamond?

maskini bwana yani anakuwa na hasira hata kla sababu,mtaje msanii unaehisi kafanya kumzidi diamond?
 
Msidharau mnanda, kuna kundi la mnanda linatoka huko uswahilini linaitwa Jagwa music walifanya show ya kufa mtu kwenye Roskilde Festival 2011 Denmark wazungu hawakukaa chini. Halafu nilikuja kuwaona tena Brussels mwaka 2012, ilikuwa noma. Jamaa walipagawisha jukwaa wazungu walikuwa wanaimbishwa na watoto wa uswahilini, haijawahi mbongo fleva yeyote kufikia perfomance ile. Sasa hapa nawashangaa nyinyi, mnaosema tune ya kizaramo, si msikilize miziki ya kina Beyonce na Jy Z.
 
Msidharau mnanda, kuna kundi la mnanda linatoka huko uswahilini linaitwa Jagwa music walifanya show ya kufa mtu kwenye Roskilde Festival 2011 Denmark wazungu hawakukaa chini. Halafu nilikuja kuwaona tena Brussels mwaka 2012, ilikuwa noma. Jamaa walipagawisha jukwaa wazungu walikuwa wanaimbishwa na watoto wa uswahilini, haijawahi mbongo fleva yeyote kufikia perfomance ile. Sasa hapa nawashangaa nyinyi, mnaosema tune ya kizaramo, si msikilize miziki ya kina Beyonce na Jy Z.

Mkuu hawa jaguar ndo wale waliimbaga Ally Mwinyi ni hodari.
 
Dogo ajitathmini na mwenendo wake kimataifa
 
Hongera dai kwa kuitangaza Tanzaniaa,ntakuja nishangaeee tuzo iende kwa Iyanya ntakusaidia kuroga safarii hiiii
 
Video zote kali sana...Audio zote kali sana.Zote zitatoboa international.
 
wejamaa huwezi kuendelea kama unatabia kama hiyo



Usipoteze muda mkuu kubishana na jinga ilo lisilojua muziki,alafu kwa akili yake fupi linadhani linapatia kweli linachokiongea...Linasema muziki wa saida karoli ndio wa kitanzania kwa kuwa nshomile mwenzie,ila wa kizaramo sio wa kitanzania kisa alipendi wazaramo......Alafu linasema management ya diamond mbovu haimshauri vizuri then lenyewe linashauri angefanyia video iyo rufiji kwa milioni 10...ilo linachoweza ni kumsifia slaa tu na mbowe.
 
Video nzuri sana lakini kilicho imbwa hakina hadhi ya kustahili video hii......
Na sikuona sababu ya diamond kuachia video mbili na sababu aliyotolewa si ya msingi kabisa maana wimbo ukiwa mzuri utapenya kote duniani....

Alitakuwa kuupa huu wimbo nafasi ya kutosha na kuupa promotion ya kutosha kuliko kuachia nyimbo mbili kwa wakati mmoja na ni wazi lazima mmoja ufe na nina hisi safari hii kama diamond ameshindwa kujiamini kwenye hili maana hakuna sababu za msingi alizo zieleza zilizo sababisha na zinatosha kuwa sababu za kutoa video mbili au nyimbo mbili kwa mpigo...Mdogomdogo ulitakiwa kupewa nafasi kama ana uamini maana muziki kupenya kimataifa si lazima uwe wa lugha ya kingereza.

Washauri wa Diamond wanapaswa kumshauri vizuri na huwa wana mshauri vizuri lakini kwa ushauri huu waliompa wa kutoa nyimbo mbili na video kwa mkupuo na wakasema hizo ndio sababu,ni wazi wameteleza wanapaswa kujitazama upya.

Pengine waliutathimini mdogomdogo wakaona hauta kidhi matarajio yao kwa haraka lakini walitakiwa kuupa muda maana hata huo ungeweza kupenya kimataifa kama kweli umetungwa na kuandaliwa vyema.......
 
ule bum bum mi sijaona uzuri wa audio kwa kweli!
 
Usipoteze muda mkuu kubishana na jinga ilo lisilojua muziki,alafu kwa akili yake fupi linadhani linapatia kweli linachokiongea...Linasema muziki wa saida karoli ndio wa kitanzania kwa kuwa nshomile mwenzie,ila wa kizaramo sio wa kitanzania kisa alipendi wazaramo......Alafu linasema management ya diamond mbovu haimshauri vizuri then lenyewe linashauri angefanyia video iyo rufiji kwa milioni 10...ilo linachoweza ni kumsifia slaa tu na mbowe.

umemsahau na kiranga kwenye orodha ya kuwasifia.
 
Hii video ya mdogomdogo ni kama kuangalia second version ya Aye-Davido basing on skeleton of the both videos ingawa ni common idea kwa videos nyingi na movies(maskini kumpenda tajiri and blah blah)kati ya joints mbili nafikiri mdogomdogo inaweza ikampa airtime hapa home ile bum bum anahitaji promo ya haja nje na ndani otherwise ni famba.
 
Washauri wa Diamond kwa ushauri huu waliompa wa kutoa nyimbo mbili na video kwa mkupuo na wakasema hizo ndio sababu,ni wazi wameteleza wanapaswa kujitazama upya.

I bet they know better what they are up to.. Babu Tale analijua soko la muziki wa Bongo better than you do...!!
Just thinking..!!
 
I bet they know better what they are up to.. Babu Tale analijua soko la muziki wa Bongo better than you do...!!
Just thinking..!!
upambe mwingine mnajitowa mpaka akili, kwahiyo huyo babu tale yeye ana sifa za kimungu? hakosei?

hivi mnadhani 2pac shakur ni mtu wa kuigwa na amateurs musicians kwa sababu yeye alitoa double cd ya all eyes on me?
 
upambe mwingine mnajitowa mpaka akili, kwahiyo huyo babu tale yeye ana sifa za kimungu? hakosei?

hivi mnadhani 2pac shakur ni mtu wa kuigwa na amateurs musicians kwa sababu yeye alitoa double cd ya all eyes on me?

let alone upambe, they know what they are doing and they are good at it...!! otherwise na wewe fanya muziki tuone..!!
 
Back
Top Bottom