Diamond - Mdogomdogo (Video na Lyrics)

Diamond - Mdogomdogo (Video na Lyrics)

Duuuuu amekuwa mtanzania wa kwanza kufanya shooting na wazungu.
 
I agree na wadau nimekuwa nasikiliza huo wimbo ila

video hadi raha I wish wimbo uwe kivingine.
 
video kajitahidi sana .......

ngoma mbili kwa wakati. mmoja na gari kama zawadi kwa mama ake katika siku yake ya kuzaliwa
 
I agree na wadau nimekuwa nasikiliza huo wimbo ila

video hadi raha I wish wimbo uwe kivingine.

sasa nimegunduwa huyu dogo amezungukwa na kundi la wahuni tu wanaohitaji pesa zake tu.

miaka mingi uko nyuma nimefanya kazi na kampuni ya upset kwa ajili ya shooting kwenye nchi fulani hivi hawa watu washooting wamemuandalia mazingira na watu sahihi wa kufanya shooting lakini hii nyimbo audio yake itatumika kwenye mikesha ya wazaramo na vigodoro tu, kama kuna dj club atapiga nyimbo hii nitamuona hana akili kabisa na ni dj fake.

kama diamond huwa anapita hapa jf namshauri aifumuwe na kuisuka upya management yake otherwise diamond anachungulia kaburi la kimuziki.
 
Hata nyimbo za AfroNiger tunazozipenda huku mtaani kama sekereu etc hata Hiphop ni street customs za USA - ngoma za kimtaani zaidi(battling Hiphop) so msishangae kupiga mchiriku style (ngoma imekaa poa sana)
Acheni wivu wa kijinga haters
 
Nahisi Diamond anazidi kufanikiwa zaidi so ajiandae kisaikolojia Haters kuwa wengi na mamluki for no reason
 
Hata nyimbo za AfroNiger tunazozipenda huku mtaani kama sekereu etc hata Hiphop ni street customs za USA - ngoma za kimtaani zaidi(battling Hiphop) so msishangae kupiga mchiriku style (ngoma imekaa poa sana)
Acheni wivu wa kijinga haters

kama kusema na kutoa maoni ya ukweli ndio haters basi mimi ni rais wa haters.

endeleeni kumdanganya tu huyo ila akifuria pochi likienda na nyinyi mtamkimbia na kuanza kuwa kama malaya kumponda. anayependa diamond amkosoe na kumshauri sasa.
 
Hata nyimbo za AfroNiger tunazozipenda huku mtaani kama sekereu etc hata Hiphop ni street customs za USA - ngoma za kimtaani zaidi(battling Hiphop) so msishangae kupiga mchiriku style (ngoma imekaa poa sana)
Acheni wivu wa kijinga haters

mtu akitoa mawazo tofauti ni hater.... I love diamond saaaana ila hii haiwezi kuzuia kuwa na mawazo tofauti.

ngoma lazima itoke cos hata airtime inapata ya kutosha clouds pekee wameigonga kama mara 10 hiyo ni jana tu.
#nimwendowavipara # wenye vipara hasa wadada wameshaanza kukatumia hako kamsemo.
 
Nahisi Diamond anazidi kufanikiwa zaidi so ajiandae kisaikolojia Haters kuwa wengi na mamluki for no reason

wewe ndio babu tale? diamond ndio anapotea wewe unaona kuna haters? wewe unadhani hata video ya thriller ya Michael Jackson ingevunja rekodi kama audio ingekuwa ushuzi mtupu kama hii ya diamond?
 
wewe utakuwa ni mzaramo au mswahili mswahili hivi siyo bure. pale diamond kakosa washauri shooting angefanyia msanga au rufiji kwa bajeti isiyozidi million 10.

waliofanya shooting hii ndio ilipaswa washoot my namba one
nyimbo ingeendana na shooting nadhani hata dovido angetemeshwa tuzo moja huyu dogo angepata.

Me mswahili haswa hujakosea....
na Dai kanikuna kweli kweli....nyumbani ni nyumbani, mchiriku lazima upaeeee!
 
Me mswahili haswa hujakosea....
na Dai kanikuna kweli kweli....nyumbani ni nyumbani, mchiriku lazima upaeeee!

sina la kuongeza, yakimshinda ya kimataifa si vibaya akiangalia soko la tandale, msanga, rufiji na show za vigodoro. ni ubunifu pia.
 
Alie andika script ya hii video ni mkali sana. Namkubali hata kama sijui ni nani.
Hapa kimataifa wataangalia zaidi quality ya Video ila Audio yake si nzuri kwa wastaarabu, ukiipeleka mbagala mbona wanakula zakutosha sana
 
Ila waungwana kama mnakumbuka last year tuli0ponda sana ule wimbo wa my number one lakini kilichotokea sote tunajua. Tusijaji mapema hivyo
 
nijuacho mim Matola n shabk mkubwa wa Diamond humu JF lakn kama na yeye kasema Mdogomdogo n wimbo wa kawaida bas najirdhsha kuwa ni wimbo wa kawaida kweli..

Jamaa kabugi,,hajafkia haja levo za FEROOZ-NDEGE MTINI..

ingawaje n bonge la video ila hata demu wangu kasema Diamond kaanza kufulia.
 
Last edited by a moderator:
wewe ndio babu tale? diamond ndio anapotea wewe unaona kuna haters? wewe unadhani hata video ya thriller ya Michael Jackson ingevunja rekodi kama audio ingekuwa ushuzi mtupu kama hii ya diamond?

mkuu achana nao,mda utaongea,dogo kabugi.
 
wewe ndio babu tale? diamond ndio anapotea wewe unaona kuna haters? wewe unadhani hata video ya thriller ya Michael Jackson ingevunja rekodi kama audio ingekuwa ushuzi mtupu kama hii ya diamond?

uwezo wake ndo ulipofikia mkuu, wabongo tunapenda sana ku blame kutokana na views zetu zisizo na vichwa wala miguu
 
wewe utakuwa ni mzaramo au mswahili mswahili hivi siyo bure. pale diamond kakosa washauri shooting angefanyia msanga au rufiji kwa bajeti isiyozidi million 10.

waliofanya shooting hii ndio ilipaswa washoot my namba one
nyimbo ingeendana na shooting nadhani hata dovido angetemeshwa tuzo moja huyu dogo angepata.

Kaka Matola,Kwani Uswahili Ni Dhambi?............Mi Nadhani Hii Ndio Identity Ya Utanzania Wetu....Maana Uzaramoni Ndio Centre Ya Maisha Ya Makabila Mengi.......Niko Sooooo Proud Na Chibu Kwa Hili...
 
Kuna KaTrend Kanaendelea.....Vanessa Mdee Na Hawajui,Diamond Na Hii Na Shaa Alishatangulia Na Sugua Gaga.......I'm Not A Fan Of Mchiriku Au Mnanda BUT On A Serious Note,This Was What We Miss From Our Industry.........Owning Up Every Genre In Our Culture.....
 
Back
Top Bottom