Full Verse(Official ) Mdogo Mdogo: by Diamond Platinumz
Aaah
ooh.. nimetembea tembea bara na visiwani
Ila nikajionea, wee ndo my namba wani
Natamani nikupe ila sinaa, nimejaliwa upendo heshima, aah
Maneno yao matamu, wasikuibe mama
Si unajua vina tamu, wabaya sana
Wana wivu haoo, haoo, haooo
Wachonganishi haoo, haoo haoo
Wana wivu haoo, haoo haooo
Wachonganishi haoo, haoo haoo
Usije niacha kwa unyonge nachechemea
Au utamu wa finyango na tonge, ukanielemea
Usije niacha kwa unyonge nachechemea
Au utamu wa finyango na tonge, ukala kwangu ooh
Hapa, Mwendawazimu kaingiaje
Asije Kitorondo, Mwendawazimu kaingiaje
Akanikata na uhondo, Mwendawazimu kaingiaje
Kitorondo Kitorondo, Mwendawazimu kaingiaje
Ikinasa mpaka uondoe, Mwendawazimu kaingiaje
Oooh Kitorondo, Mwendawazimu kaingiaje
Akanikata na uhondo, Mwendawazimu kaingiaje
Ikawa nyumba ya shetani, Mwendawazimu kaingiaje
Aaah
Ah, kidogo nkileta maneti msinune,
Nikumbatie unikisi nijivune,
Kesho nizidishe ufanisi, njitume,
Tujenge hadi nyumba Paris, wanune,
Hii michezo michezo huko saluni, chunga u kifano
Wasije kufunza pia uhuni, ukawa unadanga,
Teh , ukaanza safari, mchana wa jua kali, usiku haulali, ae ae
Ooh.. ukaanza safari, mchana wa jua kali, usiku haulali, ae ae
Wana wivu haoo, haoo haooo
Wachonganishi haoo, haoo haoo
Wana wivu haoo, haoo haooo
Wachonganishi haoo, haoo haoo
Ooh.. ukaanza safari, mchana wa jua kali, usiku haulali, ae ae,
Hapa, Mwendawazimu kaingiaje
Asije Kitorondo, Mwendawazimu kaingiaje
Akanikata na uhondo, Mwendawazimu kaingiaje
Kitorondo Kitorondo, Mwendawazimu kaingiaje
Ikinasa mpaka uondoe, Mwendawazimu kaingiaje
Oooh Kitorondo, Mwendawazimu kaingiaje
Akanikata na uhondo, Mwendawazimu kaingiaje
Ikawa nyumba ya shetani, Mwendawazimu kaingiaje
Aaah
Aaah..vipi tena
aaah nini bwana
.saa hizi tena kuna mtu kaibiwa
..
What do you do with this looser
Wee nini
.
Asante
Thomas
Mdogo mdogo, usijali mama,
Mdogo mgodo, we acha waongee,
Usiku na mchana, aah mpaka wanyongee,
Na ntakupenda sana, mahaba ninyonge
Usijali lawama, acha wanizonge
Ooh kachiri kachiri, kachiri we ngao yangu
Wenzako hutamani, nilindie roho yangu
Wasije wa fulani, wakaiba tamu yangu,
Wasafiiii
.
Hapa, Mwendawazimu kaingiaje
Ah , Mwendawazimu kaingiaje x 3
Mdogo mdogo, ah mwendawazimu kaingiaje x 4
Mwendo wa vipara!