Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
uwezo wake ndo ulipofikia mkuu, wabongo tunapenda sana ku blame kutokana na views zetu zisizo na vichwa wala miguu
mimi kwenye gari au nyumbani naweza kusikiliza nyimbo ya diamond kesho nikupeleke nyumbani, sijui jina halisi la wimbo huu na pia my number one unaleta mizuka lakini siyo huu ushuzi alioutowa wa wacheza vigodoro na kwenye harusi za wazaramo.
kama idea yake ni kwamba amekubali davido aendelee kuzoa tuzo zote na yeye ajikite kwenye soko la waswahili na mabeki tatu mimi sina tatizo ni ubunifu wa hali ya juu maana bongo movie na magazeti ya shigongo wateja wao wakubwa ni group hilo la simple minded. nadhani diamond ameiona fursa hii hongera zake.