Diamond kuachia kazi yake aliyofanya na msanii Future kutoka Marekani

Hawajulikani mkuu na wala siongei kama hater,mi nakwambia fact.watangazaji wa kibongo ndio wanadanganya wasikilizaji wao sana.hata Nigeria nilimuuliza jamaa yangu aliniambia hamjui na wala ngoma zetu hazina airtime kabisa huko,
Doooh...
Kama ni hivyo hatutakuja kuwa na msanii wa kimataifa tena...
Maana juhudi anazozifanya bwana Diamond si mchezo...
Sijui WaTanzania tulirogwa na nani..!
 
Naisubiria huku namsikiliza Rayvanny- eeti ntokeje tiriii riii rii rii...baada ya hit ya (wacha nkae kimya)kuonekana ameingia choo sio chake ni vyema ajiweke sawa trh 22...ama nin
 
Safi sana Chibu,inatakiwa uanze Kolabo na hao hao kina future kwanza,kabla haujafika kwa Drake..

Tengrneza jina kwanza huko Ulaya halafu ndio ufanye na wasanii kama Chriss na JayZ
Kashafika tayari maana tayari kamfikia Ne-yo
 
Doooh...
Kama ni hivyo hatutakuja kuwa na msanii wa kimataifa tena...
Maana juhudi anazozifanya bwana Diamond si mchezo...
Sijui WaTanzania tulirogwa na nani..!
Mkuu msanii mkubwa itakuja kutokea ila sio leo.tatizo la wasanii wetu wanataka misifa na sio kazi.na wakisharekodi hivyo viwimbo vyao wanaacha kufanya matangazo nje wao wanakimbilia kuja tz kujisifia kama hivi,huku tushawajua wanatangaza kitu gani badala ya kutangaza huko wasikojulikana??
 
Mkuu msanii mkubwa itakuja kutokea ila sio leo.tatizo la wasanii wetu wanataka misifa na sio kazi.na wakisharekodi hivyo viwimbo vyao wanaacha kufanya matangazo nje wao wanakimbilia kuja tz kujisifia kama hivi,huku tushawajua wanatangaza kitu gani badala ya kutangaza huko wasikojulikana??
Hapa nimekuelewa sana mkuu...
Hili nalo ni TATIZO..!
 
Mch G kasema ashawasiliana na ma mafia wenake huko states kua domo hata akifanya kolabo na trump hiyo rekod ibitaishia kusikilizwa studio.

Huyu kenge amenikwaza sana kumsifia mtu wa call me j, kwa hili siwezi kumsamehe. Domo kama la kiboko.
 
Doooh...
Kama ni hivyo hatutakuja kuwa na msanii wa kimataifa tena...
Maana juhudi anazozifanya bwana Diamond si mchezo...
Sijui WaTanzania tulirogwa na nani..!
Watz roho mbaya halafu wanapenda kujifanya wanajua kumbe hawajui lolote, Diamond ukienda nchi yeyote ya kiafrica hakuna asiyemjua, wanaimba nyimbo zake na kucheza kuliko sisi watz, juzi nilikuwa kongo magari ya matangazo yanapita yanapiga nyimbo za Diamond tuu na watu wanacheza mbaya, huko Rwanda, Nigeria na Ghana ndio usiseme. Europe ndio huwa wanazipata kabla yetu sisi watz....halafu mijitu inakurupuka huko eti Dai hajulikani kimaitaifa... kama sio roho za kichawi ni nini?
 
Kiukweli amenidissapoint sana kumtetea bashite kwenye liwimbo lake, hiyo dhambi sijui kama nitamsamehe
 
Hawajulikani mkuu na wala siongei kama hater,mi nakwambia fact.watangazaji wa kibongo ndio wanadanganya wasikilizaji wao sana.hata Nigeria nilimuuliza jamaa yangu aliniambia hamjui na wala ngoma zetu hazina airtime kabisa huko,
Duu kwaiyo zile show anazofanyaga na wale watu wanaojaa huwaga wanatuongopea ee?
 
International artist sio kufanya collable na msanii wa kimataifa bali ni kufanya muziki mzuri utakaokamata dunia nzima,Dai hana muziki huo hata Kiba hana pia.nilienda Malawi,South Africa na Zambia hao wasanii wenu hata hawajulikani.kifupi kuwa msanii wa kimataifa inahitajika ngoma kubwa na sio kushirikiana na msanii mkubwa.mnadanganywa na akina B12 mnakalili tu


Man, huku mambele nikikutana na waafrika nikiwaambia natokea Bongo story ya kwanza watakayoiibua ni Diamond Platnumz. Zile party na madisco ya waafrica zote zinazopiga nyimbo nyimbo za kiafrica lazima usikie nyimbo za Diamond. Tena ile ngoma yake na Ne-Yo ndio imemboost vibaya vibaya, maana mpaka ukipita kwenye maduka ya watu kutoka West Africa unaisikia inachezwa mara kwa mara
 
Kiukweli amenidissapoint sana kumtetea bashite kwenye liwimbo lake, hiyo dhambi sijui kama nitamsamehe
Duh! we noma, au we ndo Gwajima nn manake kumchukia kote uko bashite sijui kunatokan na nn mkuu
 
Back
Top Bottom