DIAMOND: Kanyaga! Kanyaga! Masela kanyaga

DIAMOND: Kanyaga! Kanyaga! Masela kanyaga

Watu mbona mnaanza kutukanana Bila sababu za msingi
 
Diamond hakusugui vizur njoo kwangu nikufikishe kileleni
Mimi muhuni kweli alafu mjanja sina chuki za kiboya wewe mshamba alafu una chuki za kishamba utakufa umebenjua msambwanda wewe
 
Wapi imeandikwa kila nyimbo ya mond uielewe..nyingine kama hauelewi unakausha tu.
 
mimi simuelewi kabisa anachoimba, hv nyie mnajiita team diamond na wote mnaompenda,huyu ndugu anaimba nini?

mimi simuelewi kabisa nilikua fan wake mkubwa lakini kwasasa naona kama anacheza manyanga kama mganga wa kienyeji..

nyimbo hazieleweki.

5
Nimeupenda sana wimbo wake huu wa Kanyaga
 
Ma X wote kanyaga kanyaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
PUMBAVUUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom