Diamond Jubilee Hall ipo sehemu gani kwa Dar es Salaam nimeitwa Interview

Panda magari ya mbagala hadi rangitatu shuka tafuta gari za mbande fika hadi mwisho kabisa panda magari ya msongola huko barabara mbovu ukifika mwisho kabisa panda bodaboda Mwambie akupeleke diamond
Hapo utakuta uwanja
piga namba 112 waelekeze na uwaambie unavuta bangi hapo watakuja jamaa wa magwanda usikimbie watakuchukua utaenda kufanya interview

The hell will be with you

Hahahaaaa....aibu naona Mimi yani.....
 
Nadhani umejibiwa fresh na baadhi ya watu....ukitoka kwenye usaili karibu lunch kitonga bar/mekuu
 
Mtoa mada mwenyew kakimbia cjui? Nilim PM kumuelekeza alisema yupo Ubungo. Akifika basi atoe mrejesho sasa kukaa kimya maana yke hajafika bado au?
 
Mwacheni aulize interview ya TRA sio mchezo,kakomae bana ila ukipata na kazi uje kutuambia pia!tutaonana ijumaa pale!
 
Wewe mleta uzi usipokuwa makini utafanya vibaya interview yako,Diamond ipo karibu Muhimbli pr school,Tumain Hospitari,Ubarozi wa DRC Congo,Mzizima sec school,Ngome jeshi Jwtz makao makuu,Muhimbili hosp...uliza sehemu zote hapo juu utapelekwa...wish you good interview.
 
Wewe mleta uzi usipokuwa makini utafanya vibaya interview yako,Diamond ipo karibu Muhimbli pr school,Tumain Hospitari,Ubarozi wa DRC Congo,Mzizima sec school,Ngome jeshi Jwtz makao makuu,Muhimbili hosp...uliza sehemu zote hapo juu utapelekwa...wish you good interview.

Shule ya Mzizima haipo karibu na Diamond Jubilee. Iliyo karibu yake ni SRSS.
 
Aiseeee....hivi hayo majibu ni bangi,stress au chuki??? Manake sijaelewa hata
 
Ipo vingunguti kiembe mbuzi!!!!panda magari ya mbagara kisha subiri konda aite kiembe mbuzi,then shuka hapo hapo na vuka barabara,kuna mama anauza mtori,muulize huyo atakufahamisha.
 
Back
Top Bottom