Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,756
Huyu jamaa Nasibu anajitahidi sana kufanya kazi na kuajiri watu wengine ila sasa inapoelekea inabidi ajilinde zaidi maana anaitwa mnyonyajji na tapeli na mwonevu. Namshauri ajiangalie sana maana kwa level hii ya kumiliki hata media anajiweka kwenye ushindani fulani hivi washakaji wanaweza kumfanya mbaya hata kwa kumloga..... NI USHAURI TU....