Diamond apata mshtuko deni la mil.800 (TRA WAIKANA BARUA)

Diamond apata mshtuko deni la mil.800 (TRA WAIKANA BARUA)

mleta maada hebu wasilisha vithibitisho vya hilo deni la Mil 800. ilivyokaa hii habari kama ni kitu cha kufikirika tu
 
Lakini hapo kuna issue ya msingi...kwanini halipi kodi? Na wasanii wengine kama masanja mkandamizaji na Bongo movie team kwanini hawalipi kodi? TRA hawatafuti kodi wamekalia kufukuzana na watumishi wenye mishahara ya laki 2 kwa mwezi wanawaacha wafanyabiashara na wasanii wakijinasibu kuwa na pesa na maisha ya juu. Wasanii nje ya nchi wanaendesha serikali kwa mapato....TRA mjirekebishe. Tanzania bila kuipa UKAWA haiwezi kupiga hatua

Aliyekwambia Diamond halipi kodi ni nani? Watu wengine upeo finyu. The guy from TRA ameshasema that letter was fake. But you all in here mnabiashana eti alipe kodi as if TRA wametoa tamko kwamba Diamond halipagi kodi.
Mmeacha watu wamekula mabilioni ya escrow kwa starehe zao hata kuwakomalia warudishe hizo hela hamkufanya,kazi kupiga domo tuu. Now Diamond is working hard for his money and he pays tax, lakini kwa kumshadadia bila hata ushahidi kama halipi kodi. Just leave Diamond alone please!!!
 
Nimesoma gazeti moja la udaku Leo linadai kuwa Diamond platinumz anadaiwa Tsh. million 800 na TRA(Tanzania Revenue Authority)

wanajamvi Je hizi habari mnahisi zina ukweli wowote?
 
Nimesoma gazeti moja la udaku Leo linadai kuwa Diamond platinumz anadaiwa Tsh. million 800 na TRA(Tanzania Revenue Authority)

wanajamvi Je hizi habari mnahisi zina ukweli wowote?

kwa bilioniare kama yeye hiyo sio pesa mingi
 
Hapo kuna mnene atatembezewa milioni 100 mambo yanaisha chezea kinje wewe
 
hata kama barua ingekuwa ni halali, ni wajibu kwa TRA kuchukua kodi kwa wasanii wote..

aliyegushi aliona mbali.
 
Uwiiii jamani huu uandishi mwingine bwana, eti capital gain maana yake lipa kadiri unavyopata, hatareeeee!
 
mbona una mahaba kwa wanaume wenzio hivi ?
unataka asilipe kodi kama nani mbona wewe unalipa
hadi Leo Messi analipa sembuse domo

Mahaba gani hayo....kwa akili yako kuacha kodi kwenye ishu za msingi na zenye hela na kukimbizana na akina Diamond ni sawa? Hiyo akili gani mkuu
 
Back
Top Bottom