AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Wewe AshaDii...wewe!
Habari yako Ritz.... You have been missed..lol..:eyebrows:
Wewe AshaDii...wewe!
hujaenda kujenga taifa leo?
Nimefurahia ratiba yako...e.g kula mpka usikie njaa kwanza.
Yani hapo kwenye red....Ndo nyota wa bongo hawa, wanalewa umaarufu mara moja na kushahau hata kilichowafikisha walipo....
Anyway; ujana ni moshi, ukienda haurudi!
Mie ni early riser... Sasa leo yamenikuta, nimelala alfajiri na kuamka saa mbili, nimeingia kazini almost saa tatu na nusu na siku zooote hua nafika saa moja na nusu (ndo maana mkanganyiko wa mda....lol)
hahaha... Hio ratiba ya kula hakuna lolote dear....lol
AshaDii sasa huoni warembo wanaisifia hiyo 'regular'....lol jamani utoto raha nyie!
Waache warukeruke ila tu siku ya siku wasije wakaweka hizi herufi kwenye sentensi zao.....'ninge/ningali....'Yani hapo kwenye red....
Kama kila mtu angefunuliwa jambo hilo basi nadhani dunia ingekuwa sehemu njema sana
Habari yako Ritz.... You have been missed..lol..:eyebrows:
THANK YOU.... Sometimes hua naogopa there will be NO more MEN in the future... Maana wapungua as time goes on.
AshaDii sasa huoni warembo wanaisifia hiyo 'regular'....lol jamani utoto raha nyie!
Kheee!hapo kwenye red....unanikumbusha kule kwa wakubwa......anyway..nakuaminia sana tu
hahahaa.regular indeed! kazi tunayo.
hapo red/underlined text umenikumbusha mbaaaaaaaaaaali saaaaaaaaaaaaaana!
yeah - that is the law of diminishing return!
Fresh sana...Adi, niambie upo! Naona dogo Diamond anauonyesha Ushabab wake!
Ujue Joketi niilikuwa naomuona decent kwa awa mademu wa town...sasa tena kaangukia kwenye mikoni ya Diamond..
Kashindwa kutafuta mwanaume makini uko posta! Elimu yake ya chuo kikuu aijamsaidia kabisa!
Au ndio mapenzi upofu?
Hapana... Naona it more to do na reputation ya dogo....
Kwamba kama atoka na Star basi ataonekana wa maana saana.
I don't believe he si that good in the suck, wala haelekei...
Na it has nothing to do na udogo wake! hahaha....
Asha Di: Hapa niko pamoja na wewe!!!!
lolz......aiseeeehahahaha! 6 tu? Hio si regular size jamani....lol..
This woman is very stupid. Imagine someone's wife wriiting those words. Shame on you. In other words, she want to tell us that she has made love with only two people: diamond and his husband.
Fresh sana...Adi, niambie upo! Naona dogo Diamond anauonyesha Ushabab wake!
Ujue Joketi niilikuwa naomuona decent kwa awa mademu wa town...sasa tena kaangukia kwenye mikoni ya Diamond..
Kashindwa kutafuta mwanaume makini uko posta! Elimu yake ya chuo kikuu aijamsaidia kabisa!
Au ndio mapenzi upofu?