KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #81
Waache warukeruke ila tu siku ya siku wasije wakaweka hizi herufi kwenye sentensi zao.....'ninge/ningali....'
Marehemu Mr.EBBO mmasai aliwahi kuimba "mtajirusha sana na mwisho mtaanguka" naipenda sana hii