mcrounmj
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 380
- 885
Diamond platnumz yuko very smart kila sekta. Mwangalie anavyoachia nyimbo kimkakati, anavyoweza kuwameneji wasanii walio chini yake vizuri, kujua soko la mziki linataka nini kwa wakati upi, na biashara zake ikiwemo wcb media.
Kiufupi huyu jamaa ni genius katika mikakati ya kuwini soko analolitaka. Ngoma yake aloachia juzi quarantine ni ngoma mbovu kuwahi kutokea, lakini ni Bonge moja la ngoma linalomtambulisha duniani.
Yaani hapo unaweza kuelewa kuwa jamaa target yake siyo bongo tena, ndiyo maana ngoma zake nyingi za hivi karibuni hatuzielewi lakini huko duniani zinaeleweka vyema,,,, tuko bize kuelewa dodo na uno ndo hit songs zetu ambazo actually hazifiki hata Zimbabwe. Tutaendelea kumtabiria kifo chake kimziki, huku mwamba akipasua anga kuupeleka mziki wake to world!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiufupi huyu jamaa ni genius katika mikakati ya kuwini soko analolitaka. Ngoma yake aloachia juzi quarantine ni ngoma mbovu kuwahi kutokea, lakini ni Bonge moja la ngoma linalomtambulisha duniani.
Yaani hapo unaweza kuelewa kuwa jamaa target yake siyo bongo tena, ndiyo maana ngoma zake nyingi za hivi karibuni hatuzielewi lakini huko duniani zinaeleweka vyema,,,, tuko bize kuelewa dodo na uno ndo hit songs zetu ambazo actually hazifiki hata Zimbabwe. Tutaendelea kumtabiria kifo chake kimziki, huku mwamba akipasua anga kuupeleka mziki wake to world!!!
Sent using Jamii Forums mobile app