mgt software JF-Expert Member Nov 1, 2010 13,767 7,115 May 7, 2022 #43 I miss you inafunga zote na lile litren bwana
M Mkata-tamaa Senior Member Nov 21, 2018 180 312 May 8, 2022 #44 Seeker Seeker said: Embu naomba hizo nyimbo 2 za sinta kutoka kwa nature ukiachana na inaniuma sana naomba majina ya hizo nyimbo 2 Click to expand... Kisa demu
Seeker Seeker said: Embu naomba hizo nyimbo 2 za sinta kutoka kwa nature ukiachana na inaniuma sana naomba majina ya hizo nyimbo 2 Click to expand... Kisa demu
Seeker Seeker JF-Expert Member Dec 15, 2020 213 298 May 8, 2022 #45 Mkata-tamaa said: Kisa demu Click to expand... Okay na hio ya mwisho naomba kuijua
Da Vinci XV JF-Expert Member Dec 7, 2019 3,837 6,372 May 8, 2022 #46 Na sisi waandishi wa makala inakuwaje π π ngoja nianze kuwandikia makala wakina Yna2 na cocastic na mimiπ π π
Na sisi waandishi wa makala inakuwaje π π ngoja nianze kuwandikia makala wakina Yna2 na cocastic na mimiπ π π
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Sep 25, 2015 9,412 26,893 May 8, 2022 #47 Nyimbo za Dimondi ambazo lazima ziwepi kwenye pc yangu ni: Nana ft Mr Flavor Niache (hii ngoma mwamba amelalamika balaa) Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Nyimbo za Dimondi ambazo lazima ziwepi kwenye pc yangu ni: Nana ft Mr Flavor Niache (hii ngoma mwamba amelalamika balaa) Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Mwamba028 JF-Expert Member Nov 15, 2013 4,548 3,550 May 8, 2022 #48 Mawazo ni bonge ya nyimbo, vmepgwa vinanda konki humo ndani ila nyimbo anazoimba siku hiz sizielew kbs
Mawazo ni bonge ya nyimbo, vmepgwa vinanda konki humo ndani ila nyimbo anazoimba siku hiz sizielew kbs
Dadii JF-Expert Member Nov 14, 2010 748 1,147 May 8, 2022 #49 Ezekiel Mbaga said: Kinachonisikisha hii nyimbo haina video Ww acha tuu boss, kila nnayempata baada ya muda kidogo ananipiga na kitu kizito kichwani Click to expand... Lkn haukomi tu mkuu umo tu!
Ezekiel Mbaga said: Kinachonisikisha hii nyimbo haina video Ww acha tuu boss, kila nnayempata baada ya muda kidogo ananipiga na kitu kizito kichwani Click to expand... Lkn haukomi tu mkuu umo tu!
Mbaga Jr JF-Expert Member May 28, 2018 19,101 41,604 May 8, 2022 #50 Dadii said: Lkn haukomi tu mkuu umo tu! Click to expand... Napambania nisipopendwa ππ