Mnzajila GairoTz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 562
- 153
Ubungo kwani ninyi hamjui lina hati miliki ya Mnyika?
Baelezee
Ubungo kwani ninyi hamjui lina hati miliki ya Mnyika?
Hahaha kiboko ya ccm kule mbeya ndio maana povu linakutokaKweli Kabisa Mkuu,
Juzi nilikuwa pale MAFIAT, vijana wa pale wanajuta sana kumchagua SUGU, vyote alivyowaahidi hajatekeleza hata kimoja!
Kweli Kabisa Mkuu,
Juzi nilikuwa pale MAFIAT, vijana wa pale wanajuta sana kumchagua SUGU, vyote alivyowaahidi hajatekeleza hata kimoja!
Wamuulize Nape aliyeamua kukimbilia Mtama!Kweli mkuu, jimbo lenye chuo kikuu mama cha Taifa, tuchague Diamond? Hata kuisikia ccm hatutaki, hata hivyo nakumbusha kuwa MNYIKA anahati miliki na hili jimbo kwa miaka 99. Kama hamuamini mleteni yeyote Ubungo halafu November tukutane hapa kwa mrejesho!
Napendekeza Mwanamuziki Diamond agombee ubunge jimbo la ubungo uchaguzi ujao.
Ubungo kuna vijana wengi wa mitaani ambao Diamond ana uwezo mkubwa si tu wa kuwashawishi wampe kura lakini ana uwezo pia wa kuwasaidia vijana wengi kwa kuwa yeye mwenyewe katokea maisha ya mtaani hadi kufikia hapo alipo kung`ara kimataifa.
Napendekeza Mwanamuziki Diamond agombee ubunge jimbo la ubungo uchaguzi ujao.
Ubungo kuna vijana wengi wa mitaani ambao Diamond ana uwezo mkubwa si tu wa kuwashawishi wampe kura lakini ana uwezo pia wa kuwasaidia vijana wengi kwa kuwa yeye mwenyewe katokea maisha ya mtaani hadi kufikia hapo alipo kung`ara kimataifa.
Na pia ni kijana aliyekomaa kimikakati ya kimaisha ni rahisi kufunza vijana wenzie.
Napendekeza Mwanamuziki Diamond agombee ubunge jimbo la ubungo uchaguzi ujao.
Ubungo kuna vijana wengi wa mitaani ambao Diamond ana uwezo mkubwa si tu wa kuwashawishi wampe kura lakini ana uwezo pia wa kuwasaidia vijana wengi kwa kuwa yeye mwenyewe katokea maisha ya mtaani hadi kufikia hapo alipo kung`ara kimataifa.
Na pia ni kijana aliyekomaa kimikakati ya kimaisha ni rahisi kufunza vijana wenzie.
Waliomchagua komba wana hali gani?Nakubaliana na wewe. Waliochagua watu kwa kigezo cha muziki kama Sugu kule Mbeya mjini wanajuuuuta kuchagua mvuta bangi