Diamond aendelea kutesa Afrika

Diamond aendelea kutesa Afrika

Mtv Base wamewataja na kuthibitisha wasanii watakao tumbuiza nchini nigeria kwenye mtv base africa load to MAMA july 3.
Iyanya
Olamide
Yemi Alade
Phynofino
Diamond platnumz
Lilkesho

load to mama....!!!??? or Road to mama
 
+Kijana anawashukuru kwa support yenu jamani!
 

Attachments

  • 1435666090699.jpg
    1435666090699.jpg
    21.9 KB · Views: 413
Dai kama ana akili basi aitumie fursa hii vizuri maana mwenye hiyo nafasi kasharudi na kuanzia mwakani hizo show atakuwa anazisoma tu kwenye page za KingKiba hahahhaha
#Rockstar4000presents
 
DIAMOND anapiga pesa yule chipukizi anatuwekea ka video kabovu kilichomtoa jasho iliyomfanya hata ashindwe kwenda kupanga ili mradi na yeye atoe video
 
umemsahau king kiba king wa DASLAMU king dunia nzima wanamjua....hadi Songea wanamjua....lazima atumbuize tu...maana hakuna namna sasa
 
Muongozaji wa video za muziki Tanzania, Adam
Juma wa Next Level anatamani kumtengeneza
msanii mwingine mpya atakayefata nyayo kama
za Diamond kimafanikio.
Akizungumza na 255 ya XXL ya Clouds Fm, AJ
amesema ndoto yake kwasasa ni kuona
anamsimamisha msanii mpya mwenye nyimbo
nzuri.
“Natamani kupata ngoma kali, natamani mtu aimbe
nyimbo nzuri haijalishi ni msanii gani, sina wigo wa
kusema nifanye kazi na msanii flani mkubwa sina
msanii mkubwa sina msanii mdogo, naamini saizi
nachotaka kufanya kuna mtu ameshatuonesha
moyo Diamond alipofikia, the whole entire of Afrika
wanamtaka, nataka kumtengeneza mwingine,
nataka kumtengeneza mwingine kutoka chini
kabisa asimame, kwasababu bado nina ndoto, bado
nina vitu kichwani kwahiyo msanii yeyote anayetaka
kufanya kazi na mimi anaweza kufanya kazi na
mimi.” – Adam Juma
 
AJ yuko vizuri sana. Kile kideo cha Chilla ni shida.
Muongozaji wa video za muziki Tanzania, Adam
Juma wa Next Level anatamani kumtengeneza
msanii mwingine mpya atakayefata nyayo kama
za Diamond kimafanikio.
Akizungumza na 255 ya XXL ya Clouds Fm, AJ
amesema ndoto yake kwasasa ni kuona
anamsimamisha msanii mpya mwenye nyimbo
nzuri.
“Natamani kupata ngoma kali, natamani mtu aimbe
nyimbo nzuri haijalishi ni msanii gani, sina wigo wa
kusema nifanye kazi na msanii flani mkubwa sina
msanii mkubwa sina msanii mdogo, naamini saizi
nachotaka kufanya kuna mtu ameshatuonesha
moyo Diamond alipofikia, the whole entire of Afrika
wanamtaka, nataka kumtengeneza mwingine,
nataka kumtengeneza mwingine kutoka chini
kabisa asimame, kwasababu bado nina ndoto, bado
nina vitu kichwani kwahiyo msanii yeyote anayetaka
kufanya kazi na mimi anaweza kufanya kazi na
mimi.” – Adam Juma
 
usiwe unakimbilia vitu wakati bado upo ndotoni, hiyo ni writing error, categories za best live na best male umeona wameandika mkenya??? acha ukiazi 😣

Asante kwa ushauri, writing error katika mambo ya msingi, na unamtetea, basi unamatatizo ya kimapenzi.....
 
Mtv Base wamewataja na kuthibitisha wasanii watakao tumbuiza nchini nigeria kwenye mtv base africa road to MAMA july 3.
Iyanya
Olamide
Yemi Alade
Phynofino
Diamond platnumz
Lilkesho

Mbona Ali Kiba hayupo?! Si katoa video mpya juzi tu?!!
 
Katoto aka noma sana, safari hii akipata michuzi zaidi amtumie hata elf 2,000/= baba maana kama baba angelikuwa hamnazo kichwani hata yeye angekuwa kichwa maji.
 
Asante kwa ushauri, writing error katika mambo ya msingi, na unamtetea, basi unamatatizo ya kimapenzi.....

Stress za video mbovu hizo hahaha ☝☝

Pole, diamond platnumz hafanyi kazi kwenye blog ya mtv kama wamekosea ni kimpango wao, hata hivyo ni vizuri kuliko kulimention sana linchi lenye manyang'au kama wewe..

Stress za cheketua unazimalizia kwenye writting error ya mtv blog? hahahaha kama hutaki gademu kufwaaaaaaaa for our President Mr. Icon
 
Stress za video mbovu hizo hahaha ☝☝

Pole, diamond platnumz hafanyi kazi kwenye blog ya mtv kama wamekosea ni kimpango wao, hata hivyo ni vizuri kuliko kulimention sana linchi lenye manyang'au kama wewe..

Stress za cheketua unazimalizia kwenye writting error ya mtv blog? hahahaha kama hutaki gademu kufwaaaaaaaa for our President Mr. Icon

Unathibitishaje unyang'au kwa kufanya unyang'au?
via Patriotism.
 
Stress za video mbovu hizo hahaha ☝☝

Pole, diamond platnumz hafanyi kazi kwenye blog ya mtv kama wamekosea ni kimpango wao, hata hivyo ni vizuri kuliko kulimention sana linchi lenye manyang'au kama wewe..

Stress za cheketua unazimalizia kwenye writting error ya mtv blog? hahahaha kama hutaki gademu kufwaaaaaaaa for our President Mr. Icon

Uta sababisha watu wapate vidonda vya tumbo kaka wakaushie tu sio kosa lao!
 
Mtv base leo wametangaza wasanii watakao tumbuiza kwenye siku ya utoaji tuzo nchini south africa july 18 2015.
Announcing - #MAMAPerformers : @ iam_Davido, bucIENQWILISO, @ diamondplatnumz, CassperNyovest & @yemialadee BOOM!!
Je Diamond na Davido watashare jukwaa? Ni jambo la kusubiri na kuona.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom