alnaby kumbuka hiki ni chombo cha biashara,,kubwa zaidi ni chombo binafsi chenye uhuru wa kufanya mambo yake.....hivyo napenda tu kukujulisha weka hayo mambo kichwani then utajua hawakuwa na makosa,,,STAR TV aitegemei kodi yako kama TVT,,,kasanal,loi judy tumwelimishe tu jamani..amekosea ama anaitaji msaada hakuna haja ya kumt*****a,,
2))Alikuwa na haki ya kuuliza ama maana kuna sehemu nyingine jamani haikamati zaidi ya station moja ,,labda uko aliko inakamata star tv pekee,,angebadilishaje na mnajua gairo,kulivyo na matatizo ya network,,,,ALNABY KARIBU TENA RUKSA KUELIMISHWA