Dhuluma ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yatinga kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa

Kuna wabakaji wa demokrasia kama Chadema??

Kwanini hamfanyi uchaguzi wa ndani ya chama??
Kwa kiharusi chako unamuwaza Mbowe asiwe mwenyekiti ndiyo demokrasia. Huangalii taratibu katiba na Kanuni za chama unaangalia ndoto za ccm. Endelea kuota Mbowe anabaki kuwa mwenyekiti na nyinyi endeleeni na demokrasia yenu ya wenye kifafa.
 
Mabeberu hayana nafasi vikipatikana vyama kumi vya upinzani vinatosha ,msajiri anapaswa kuendelea kusajiri vyama vipya hivi vingine vimechoka na kuchokwa ndio maana wameweka mpira kwapani
 
Nyumbu hawana hoja
Unajua saa ingine muwe mnajitambua.
Acheni propaganda zenu za kijinga.
Haya mashirika yote ya habari kimataifa yanao wawakilishi wao hapa nchini.
Na wao wanaishi kitanzania,inapotokea issue kama hizi na wao ndio kipindi chao cha kupona.

Kampeni za vyama vya upinzani nchini kwa sasa ni genge chafu lililojipanga kuiharibia serikali ya Magufuli ili itoke kwenye mstari.
Hii inajumuisha sio wanasiasa wa upinzani au wa ndani ya ccm tu.bali wale wote walioathirika ma utendaji wa magufuli wa luziba mirija yao yote ya vipato haramu.

My tak.

hapa ni kwamba hawa wanaoripoti habari hizi wengi ni watu walioishawekwa kimkakati ovu zaidi,ili kutimiza malengo yao rasmi.

Hivyo suala la ooh sijui habari imetinga sijui aljazeera and so and so...

Mnaofurahia ni walewale wahuni wa genge membe na kina zitto na hao walioharibu zanzibar na kuhamishia siasa chafu za huko kuja bara (kuharibu mashamba).
So hii sio issue.
 
Watendaji wamefanya kazi yao vizur sana waliopewa siku ile walipoitwa ikulu kwa mara ya kwanza katika maisha yao.
Propaganda za Chadema kwa sasa zimejikita katika kudai "Watendaji waliitwa Ikulu" na wanachama wao kwa kutokujua wamelishikia bango.

Kwa kutotaka kuelimisha wanachama wao, kumepelekea kutojua uchaguzi wa serikali za mitaa hausimamiwi na Tume ya uchaguzi bali unasimamiwa na Tamisemi, wizara iliyoko Ikulu chini ya Ofisi ya Rais. Wala hawakuwaelimisga kanuni mpya za uchaguzinwa Serikali za mitaa zilizoanza kutumika mwaka huu.
Sasa sijui hao watendaji wangesimamiaje uchaguzi bila ya kupatiwa semina ya kanuni za usimamiaji ukizingatia Wakurugenzi waliokuwa wakitoa semina hizo walizuiliwa na Mahakama kuu, kusimamia uchaguzi?
 
Propaganda za Chadema kwa sasa zimejikita katika kudai "Watendaji waliitwa Ikulu" na wanachama wao kwa kutokujua wamelishikia bango.

Kwa kutotaka kuelimisha wanachama wao, kumepelekea kutojua uchaguzi wa serikali za mitaa hausimamiwi na Tume ya uchaguzi bali unasimamiwa na Tamisemi, wizara iliyoko Ikulu chini ya Ofisi ya Rais. Wala hawakuwaelimisga kanuni mpya za uchaguzinwa Serikali za mitaa zilizoanza kutumika mwaka huu.
Sasa sijui hao watendaji wangesimamiaje uchaguzi bila ya kupatiwa semina ya kanuni za usimamiaji ukizingatia Wakurugenzi waliokuwa wakitoa semina hizo walizuiliwa na Mahakama kuu, kusimamia uchaguzi?
Rubbish
 
Mabeberu hayana nafasi vikipatikana vyama kumi vya upinzani vinatosha ,msajiri anapaswa kuendelea kusajiri vyama vipya hivi vingine vimechoka na kuchokwa ndio maana wameweka mpira kwapani
Rubbish
 
Unajua saa ingine muwe mnajitambua.
Acheni propaganda zenu za kijinga.
Haya mashirika yote ya habari kimataifa yanao wawakilishi wao hapa nchini.
Na wao wanaishi kitanzania,inapotokea issue kama hizi na wao ndio kipindi chao cha kupona.

Kampeni za vyama vya upinzani nchini kwa sasa ni genge chafu lililojipanga kuiharibia serikali ya Magufuli ili itoke kwenye mstari.
Hii inajumuisha sio wanasiasa wa upinzani au wa ndani ya ccm tu.bali wale wote walioathirika ma utendaji wa magufuli wa luziba mirija yao yote ya vipato haramu.

My tak.

hapa ni kwamba hawa wanaoripoti habari hizi wengi ni watu walioishawekwa kimkakati ovu zaidi,ili kutimiza malengo yao rasmi.

Hivyo suala la ooh sijui habari imetinga sijui aljazeera and so and so...

Mnaofurahia ni walewale wahuni wa genge membe na kina zitto na hao walioharibu zanzibar na kuhamishia siasa chafu za huko kuja bara (kuharibu mashamba).
So hii sio issue.
Rubbish
 
Wapinzani hawana cha kuwaambia watanzania, na wamepata sababu nzuri kama kivuli cha kujifichia kwa kuishiwa hoja.
Nilimwona padri pale ikulu sasa yeye balozi. Je wakati yupo upande wa pili kabla hajawa mtoto mkubalika alikuwa anasemaje?
 
Ya mabeberu waachie mabeberu...

Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.

Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
We ni kama jibwa tena lile lizee tu, hizi nondo wanazimwaga saa ngapi wakati bwana mkubwa anataka awaone ccm tu wakifanya siasa??.

Kweli kama hutumii masabuli kufikilia basi unatumia ubongo wa maiti alooza kutafakari.
Ni maoni yangu tu
 
Unajua saa ingine muwe mnajitambua.
Acheni propaganda zenu za kijinga.
Haya mashirika yote ya habari kimataifa yanao wawakilishi wao hapa nchini.
Na wao wanaishi kitanzania,inapotokea issue kama hizi na wao ndio kipindi chao cha kupona.

Kampeni za vyama vya upinzani nchini kwa sasa ni genge chafu lililojipanga kuiharibia serikali ya Magufuli ili itoke kwenye mstari.
Hii inajumuisha sio wanasiasa wa upinzani au wa ndani ya ccm tu.bali wale wote walioathirika ma utendaji wa magufuli wa luziba mirija yao yote ya vipato haramu.

My tak.

hapa ni kwamba hawa wanaoripoti habari hizi wengi ni watu walioishawekwa kimkakati ovu zaidi,ili kutimiza malengo yao rasmi.

Hivyo suala la ooh sijui habari imetinga sijui aljazeera and so and so...

Mnaofurahia ni walewale wahuni wa genge membe na kina zitto na hao walioharibu zanzibar na kuhamishia siasa chafu za huko kuja bara (kuharibu mashamba).
So hii sio issue.

Dah,sijui ulikuwa unatumia matako wakati wa kuandika badala ya Ubongo
 
Back
Top Bottom