Imwase
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 500
- 506
Unaambiwa dhl logistics na siyo dhl express.Web ya DHL haina hili Tangazo ...sijui ni DHL ya Manzese?
dhl express kwa mizigo na vifurushi itakuwepo kama kawaida
Unaambiwa dhl logistics na siyo dhl express.Web ya DHL haina hili Tangazo ...sijui ni DHL ya Manzese?
Mtoto wa mama bila shaka unaishi kwa Shemeji yako na anakutunza wewe na Dada yakoWaliozoea vya kunyonga kwa utawala huu wanapata shida sana
Mnashangilia kweli, Hao wafanyakazi wataenda wapi? au mtawaajiri huko Lumumba?Watanzania wapate shida kwa kukosa kodi kiasi gani??ilikuwa inaingiza mapato kiasi gani??
by the way ineondoka na kuhamishia shughuli zake kwa mwingine kwa hiyo hoja yako ni ya kukurupuka .
wasomi wa Kata mna shida sana!na akili zenu za MIGA!!
Hujitambui na hujui kazi za DHL, kwa kifupi biashara imeshuka wanaendesha kwa hasara.Waliozoea vya kunyonga kwa utawala huu wanapata shida sana
Tusipolipwa makinikia tutazaa na nyie!Watanzania wapate shida kwa kukosa kodi kiasi gani??ilikuwa inaingiza mapato kiasi gani??
by the way ineondoka na kuhamishia shughuli zake kwa mwingine kwa hiyo hoja yako ni ya kukurupuka .
wasomi wa Kata mna shida sana!na akili zenu za MIGA!!
kwa nini wabaki TNTwasubaki DHL?Hujitambui na hujui kazi za DHL, kwa kifupi biashara imeshuka wanaendesha kwa hasara.
Watabaki TNT
Niliacha kuagiza vitu toka nje kwakupitia DHL Kodi huwa inaongezwa wanavyo taka wao ''Hawafuati parcel invoice''
Web ya DHL haina hili Tangazo ...sijui ni DHL ya Manzese?
Watanzania wapate shida kwa kukosa kodi kiasi gani??ilikuwa inaingiza mapato kiasi gani??
by the way ineondoka na kuhamishia shughuli zake kwa mwingine kwa hiyo hoja yako ni ya kukurupuka .
wasomi wa Kata mna shida sana!na akili zenu za MIGA!!
Aliekwambia utapewa Noah nani?Tusipolipwa makinikia tutazaa na nyie!
Haiwezekani tukose noah zetu kibwegebwege na magufall ametukamatia mwizi wetu "redihendedi"
takataka nyingine usijibumkuu unapoteza mda wako kuwajibu watu design hio walioshikiwa akil
Jibu lako lina ishara mbaya kwa mustakabali wa makinikia!Aliekwambia utapewa Noah nani?
Upo sawa kaka....DHL Logistic and not DHL Express..so DHL Express bado inaendela kama kawaida au mimi ndio sielewi?
Upo sawa kaka....DHL Logistic and not DHL Express..so DHL Express bado inaendela kama kawaida au mimi ndio sielewi?
Inaonyesha ni kwa jinsi gani chuki imejengeka kwa tz wengi! Unafurahi DHL kufungwa? Unajua ni watz wangapi watapoteza ajira zao? Mkuu xng asante kwa maneno ya busara.how come campuni world wide ipate shida? unajua DHL ni ya wapi?
em fikirisha akilii yako kidogo watao pata shida ni dhl au watanzania wenzako na nchi yako kwa kupoteza chanzo cha mapato?
mkuu unapoteza mda wako kuwajibu watu design hio walioshikiwa akil