DHL is shutting down Tanzania operations

DHL is shutting down Tanzania operations

watanzania wengi wanaitegemea DHL kuliko unavo fikiria serkal tuu yenyewe wanaitumia ingawa kutuma barua kutoka tabora to dar tuu ni af25 ila sjui asaiv ni bei gan
lkn watu tulkua tunapishana ofcn kwao
Umezaliwa lini?Unaifahamu EMS?
Ulishawahi kupokea hawala ya fedha??
 
Nimeuliza walikuwa wanalipa kiasi gani ?hujawa na jibu....sasa nikikuuliza walikuwa wanatupotezea kiasi gani ungesemaje?

what if you lose 10 to gain 20?
iviii kwa nn usiende TRA?
m sio msemaji wa serkal broh!! are you?
 
Waliozoea vya kunyonga kwa utawala huu wanapata shida sana

....Hizi ndizo comments ambazo ziliwa inspire TWAWEZA kufanya utafiti wao recently, na kwa kweli the findings was shocking....
 
how come campuni world wide ipate shida? unajua DHL ni ya wapi?
em fikirisha akilii yako kidogo watao pata shida ni dhl au watanzania wenzako na nchi yako kwa kupoteza chanzo cha mapato?
Hata kama kampuni ni ya wapi na hata kama ni international but Dhl ya Tanzania lazima i contribute kwenye dhl main pool ya world wide. Hivyo kama dhl Tanzania haitengenezi faida, they should hav to close up their operations in Tanzania. Now watu hawaagizi mizigo as earlier na pia si rahisi kukwepa kodi. So hata kama walikua wanafanya biashara ya magumashi kwa enzi hizi they can't.
 
Umezaliwa lini?Unaifahamu EMS?
Ulishawahi kupokea hawala ya fedha??
youp ni kampuni 2tofauti na kila 1inafanya vizuri kwa upande wake
umri wangu haukuhusu ingawa nmekula chumvi pomoni
 
Mizigo yangu mingi toka Amazon nimezoea kuipokea kupitia DHL.

Wakiondoka hawa wanaojielewa tutapokelea kupitia shirika lipi?
 
Hata kama kampuni ni ya wapi na hata kama ni international but Dhl ya Tanzania lazima i contribute kwenye dhl main pool ya world wide. Hivyo kama dhl Tanzania haitengenezi faida, they should hav to close up their operations in Tanzania. Now watu hawaagizi mizigo as earlier na pia si rahisi kukwepa kodi. So hata kama walikua wanafanya biashara ya magumashi kwa enzi hizi they can't.
yup hiyo ni 1 ya factor katika nyingi zilizo pelekea ku shutdown operation zao
 
Watanzania wapate shida kwa kukosa kodi kiasi gani??ilikuwa inaingiza mapato kiasi gani??

by the way ineondoka na kuhamishia shughuli zake kwa mwingine kwa hiyo hoja yako ni ya kukurupuka .

wasomi wa Kata mna shida sana!na akili zenu za MIGA!!
We huwezi ona umuhimu wa dhl maana kutwa Uko lumumba

Ova
 
Siku serikali ikishindwa kulipa mishahara mje pia hapa na kusema na yenyewe niya wapiga dili kama mfanyavyo kwa private entities
 
Siku serikali ikishindwa kulipa mishahara mje pia hapa na kusema na yenyewe niya wapiga dili kama mfanyavyo kwa private entities
Hawa lumumba akili zao zimefika mwishoo

Ova
 
how come campuni world wide ipate shida? unajua DHL ni ya wapi?
em fikirisha akilii yako kidogo watao pata shida ni dhl au watanzania wenzako na nchi yako kwa kupoteza chanzo cha mapato?
Mkuu kwani kampuni ikiwa world wide haipati shida!^&mbona ni nyingi tu zinakufa kutokana na maanguko ya kiuchumi,poor management nk

Tuchunguze tujue chanzo na sio kuegemea upande mmoja bila kufikiri.
 
DHL Logistic and not DHL Express..so DHL Express bado inaendela kama kawaida au mimi ndio sielewi?
Upo sahihi hii ilikuwa inafanya kazi ya clearing kama makampuni mengine ya clearing and fowarding na kwa kuwa hii shughuli imekuwa ngumu naona wameamua kujitoa wabaki na hiyo ya parcel tu.
 
Hii ndyo vta ya kiuchumi. Ila hta ivyo DHL bei zenu zilkuwa juu. Yan parcel ya 500g mnachukua laki na usheee
 
Back
Top Bottom