Dhifa ya Kitaifa na Obama: Mbowe ndani ya mwaliko Ikulu

ila kwa style hii ya mbowe, nadhani hana nia nzuri na babu mpora wake za watu.. kwani hawakuruhusiwa kubeba japo kwenye rambo akampelekea babu wa watu???
maskini kikongweeeeee
 

Kwa udhaifu huu alioonesha Mbowe, ni wazi kwamba CHADEMA inapaswa kuchukua hatua. Lazima kitu kifanyike, endapo hakitafanyika kitu, basi tofauti ya CCM na CHADEMA haitakuwepo.
 
Mwacheni mwenyekiti wangu azoee zoee ikulu maana 2015 si mbali chadema wataingia rasmi...na nyie ccm tukiwaalika msisuse...lakini tutahakikisha ulinzi unaimarishwa ili msiingie na vibomu vyenu vya china.
 
Nimeelimishwa nikaelewa kuwa mbowe alichopata kwenye ile dhifa kitatusaidia sana kwenye kampeni zetu.
hata hivyo mbowe siyo mshamba wa ikulu yeye naye ni wa kule kule.
 
Musa alilelewa kabisa na Farao tangu katoto kachanga mpaka miaka 40, halafu akawa kinyume na Farao kwa ajili ya ukombozi wa watu wake. Msipanic, kuhudhuria kwa Mbowe kwenye vitu kama hivyo si dhambi na pia siasa si uadui. Japo ccm ya akina Mwigulu naona inakoleza Moto wa uadui. Mbowe hajahongwa na hahongeki... Lakin pia mbona Obama na Bush wamekutana hapa Tz na wote wana interest 1 japo vyama tofauti! sijasikia waMarekan wanalalamika
 

Tupe na ile ya Easter kukataa kukaa meza moja na mfalme na wafuasi wake, ilhali alijua kuwa kuna ndugu na jamaa zake wanaangamia!

Tupe na ya Easter basi ili tuweke equillibrium.

Mimi shida yangu nione namna ambavyo mnaweza ku-handle challenges, nimegundua kuwa CHADEMA ni weupe, kwa namna hii ya utetezi kwa Mbowe, hamna kitu.
 
Utetezi mwepesi kwenye hoja nzito haukubalic kabisa,Mbowe n Msaliti.
Angekuwa Zitto ungesikia afutwe chamani.
 
Last edited by a moderator:
Kwa udhaifu huu alioonesha Mbowe, ni wazi kwamba CHADEMA inapaswa kuchukua hatua. Lazima kitu kifanyike, endapo hakitafanyika kitu, basi tofauti ya CCM na CHADEMA haitakuwepo.
Kazi kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…