DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,898
PoaUtamuuliza dereva
PoaUtamuuliza dereva
hahahaaa ndio maana kuna uzi member anaomba ukiedit uzi wako na walikokuquote pia pawe edited kwa mambo kama haya.Ahsante sana kwa kuquote uzi, lasivyo nisingeuona maana kashafuta na kuweka maneno machache
My point was, nimeandika Jiima instead of JAMII, baadaye nikagundua nimekosea. Nikafanya editing kurekebisha hilo kosa. Lakini muda huo kuna watu wali quote uzi huo wenye makosa. Basi nikifanya editing iende vile vile kwa walioni quote iwe edited pia! Is that Wrong? Is there anything fishy in that? Mwifwahahahaaa ndio maana kuna uzi member anaomba ukiedit uzi wako na walikokuquote pia pawe edited kwa mambo kama haya.
Mwifwa, kwani mtu akifanya editing ikaenda kote kuna kosa gani rafiki yangu. Kweli nilipendekeza hilo . Huyu kwa mfano, kweli original uzi it seems aliufanyia editing kubwa (ingawa na alichokiweka mbadala ni rubbish) mimi naona ni vema tu ukigundua kosa kufanya editing sio kosa na hiyo editing ikaenda kote. Labda kama kuna legal implications hapo inabidi isiende kote maana utaihitaji kwenye ushahidi! 😁 😁 😁 😁 😁Siungi mkono hiyo mada., ilikuwa ni ya Retired kama sikosei
Nimekuelewa mkuu, hoja yako iko vizuri.Mwifwa, kwani mtu akifanya editing ikaenda kote kuna kosa gani rafiki yangu. Kweli nilipendekeza hilo . Huyu kwa mfano, kweli original uzi it seems aliufanyia editing kubwa (ingawa na alichokiweka mbadala ni rubbish) mimi naona ni vema tu ukigundua kosa kufanya editing sio kosa na hiyo editing ikaenda kote. Labda kama kuna legal implications hapo inabidi isiende kote maana utaihitaji kwenye ushahidi!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Exactly! na ndio maana nililteta ombi hilo! Mfano leo nilitaka kuandika era nikaandika error! Lo! Nikashtuka , thank God hakuna aliyekuwa amerespond kwa ku quote.Watu hufanya hivyo ili kuepuka aibu endapo ikionekana anakosolewa na watu wengi kuhusu mada yake.
hahaha mwataka kwenda zion collage au university!! uchaguzi kichwani mwakoDah umenikumbusha A.levo. haha.
hahaha afu kana beat mubasharaZion wana kanyimbo kale sijui nani kawatungia.
Yes kitambo sana. Dom na mwanza zimekuja bqadaehivi Dar kuna CBE?
Yes kitambo sana. Dom na mwanza zimekuja baadaehivi Dar kuna CBE?
Atakuuwa kwa kukosa hewa uyo ooohMwanzo mwisho, hamna nukta wala mkato![]()
Dah! Maskini elimu ya Tanzania ndiyo bai bai!!![]()
itakua zoom yunivasity..Amazon