Dharau mbaya


Duh

Alieelewa anihadithie kwa kifupi!

This is pure madness!
 
Kale mzigo kwanza ndo ulete story, ukishindwa kula ndo jamaa atakudharau maradufu
 
hongera sana mwanachuo ila jifunze matumizi ya "h" haistahili kuwepo kwenye baadhi ya maneno.
Nukta, nukta mkato, alama za funga na fungua semi, aya...... Anatakiwa kurudi shule ya msingi
 
Kwa mwandiko huo kweli we wakuja. Mwanachuo hujui pa kuweka nukta wala mkato?
 
Hahahaha Bora angetiririka lugha yetu tu... Ila hayo maneno "YOU ARE" na "YOUR" hata Mimi huwa yananichanganya naweza nikatulia hata sekunde tatu nafikiria lipi ni sahihi kulingana na sentensi ninayokusudia kuandika
 
Yaani nimesoma bila kituo mpaka pumzi imenikata...
Halafu sijaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…