Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Naomba kujua, hawa Airtel wanapinga agizo la Mheshimiwa?
Mbona wameanza kufunga line kinyume na tamko la Rais? Mimi ni mhanga wa kufungiwa huduma.
Ushauri: kama hujasajili wahi mapema ili kuepuka usumbufu wa kukosa mawasiliano hapo baadae.
Poa kwa NIDA ingekuwa bora wakaongeza kasi ya utoaji namba za vitambulisho ili watu wakasajili line zao.
Mbona wameanza kufunga line kinyume na tamko la Rais? Mimi ni mhanga wa kufungiwa huduma.
Ushauri: kama hujasajili wahi mapema ili kuepuka usumbufu wa kukosa mawasiliano hapo baadae.
Poa kwa NIDA ingekuwa bora wakaongeza kasi ya utoaji namba za vitambulisho ili watu wakasajili line zao.