Dhana ya nyumba ya milele

Dhana ya nyumba ya milele

mshana jr hivi mtu mfano amekufa mwanza, ila makazi yake wakati wa uhai yalikuwa Dar, na akazikwa Mbeya bila kupita Dar (naamini makazi ya roho yake yatakuwa ni mbeya), je roho hiyo inaweza kufika nyumbani Dar?? (Kabla ya mazishi na hata baada ya mazishi)
Roho ni energy inafika popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom