Dhana ya nyumba ya milele

Dhana ya nyumba ya milele

Pale majivu yake yanapohifadhiwa ndio nyumba yao ya milele
Mh mkuu mm naona kuna roho zinazotanga tanga hizi zipo nying ambazo pia hutembea na kutafuta sehem tuliv angalizo
Wataalam Wa mambo wanashaur MTU asihaamie bila Dua au maombi nyumba ambayo ilikua tupu bila MTU ndan Kwa kipind kirefu sana ninhatar maana roho kuna roho zitakua zimefanya hayo n makaz na majini mashetan wabaya
Kwa wale wanaochomwa pia Ina maana Kuna watakao amua kuish pale walipochomewa na wale watakaoish kule watakapoenda kutupiwa majivu yao mm nahis nijuavyo Kwa roho Ingawa pale ulipolazwa mwili wake ndio mahala pake lakin. Kuna zile hutembea na kutafuta mahal pengine na huishi huko
 
Jina lako linaendana na mawazo yako
45c9b1433747f946efcfe08c1863bcf7.jpg
 
Nanyi na "contradiction" zenu juu ya imani za dini, hasa hizi simulizi za yatokeayo baada ya mtu kufariki.
Wengine imani zao wanatusomesha kama unavyotaka kutuaminisha wewe kuwa kaburi huhukumu, kaburi huadhibu, kaburi ndiyo makazi ya milele.
Wengine wanatufundisha kuwa mwili uzikwapo ndiyo sehemu roho itarudiana na mwili siku ya kiama.
Wewe umesema roho hubaki makaburini milele. Je mambo ya kuzimu na ahera, yamekaaje katika somo hili, iwapo roho hubaki ikizagaa makaburini ni muda gani hiyo roho kwenda kuonana na Mola wake ama kutupwa jehanamu kutumikia hukumu?
Maana sasa ni mkanganyiko wa ukweli.
Hukumu sio sasa ndio maana kwa imani yako hiyo unaambiwa kuna mwisho wa dunia ama kiama
Kinachokufa ni mwili roho haifi...ndio maana unaambiwa kuna milele aidha jehanum ama peponi
Makazi ya roho ni kaburini lakini hutoka na kutangatanga kama mtu anayetoka nyumbani kwake na kwenda huko na huko
Mwisho siandiki kuaminisha watu kwakuwa haya sio mahubiri huu ni mjadala wa kufikirisha bongo zetu
 
kuna maelfu ya roho zinatangatanga ina maana hatuzooni? je wao wanatutambua?wana uwezo wa kutulinda eg wazaz
 
naskia kama ulimuua huyo mtu lazima roho yake ikuandame na kulipa kisasi..ni kweli?
 
Kumbe ndo maana ajir barabarani haziishi. Mfano kwetu tunazika karibu na nyumba au pembeni kidogo yaan kwenye mazingila mbele ya nyumba.

Sasa hawa wa barabara nasikia nyumba zilizowekewa x zinabomolewa na makaburi kuhamishwa sasa barabara itakayojengwa hapo unategemea nn? Sijui kwetu itakuwaje maana ni desturi makaburi yote yako mbele ya nyumba na nyumba waliweka x. Hiyo kweli kusumbua marehemu ajari hazitoisha.
 
Hilo ni somo tata sana linalohusu "Ulimwengu wa Kiroho" - The Spiritual Realm ". Inasemekana ulimwengu wa Kiroho umegawanyika sehemu kuu mbili, yaani Ulimwengu wa Kiroho ulio wa Mungu na ulimwengu wa Kiroho ulio wa Shetani. Kila upande una utawala wake na nguvu zake. Kwa mujibu wa mleta Uzi " Matambiko na Kafara husaidia kupoza hizo roho ambazo zinasubiria makuburini " hiyo itakuwa ni falsafa nyingine ambayo huenda ni ya Utwala wa nguvu za Giza au Shetani ambao upo na unafanya kazi. Hivyo kutegemeana na falsafa ya upande upi unasimamia maelezo yako yanaweza kuwa sahihi.
 
kuna maelfu ya roho zinatangatanga ina maana hatuzooni? je wao wanatutambua?wana uwezo wa kutulinda eg wazaz
Roho zinazotangatanga hazilindi na huvaa maumbo tofauti ya wanyama ama binadamu...Kama unavyoona huku kwenye ulimwengu wa macho kuna watoto wa mitaani hata huko pia
Wazazi hutujia direct wao huwezi kuwaweka kwenye hilo kundi
 
nimesoma shule ya msingi ambayo kilikuwa kinapita kimbunga kila ijumaa mida kama ya saa sita kasoro, siku moja ulipita upepo mkubwa ulioezua majengo mengi ya madarasa na kuleta madhara hadi tukatangazwa RTD miaka ile,
ilisemekana shule ilijengwa juu ya makaburi, kuna mambo waliweka sawa saivi hakuna tatizo mshana jr
 
Kumbe ndo maana ajir barabarani haziishi. Mfano kwetu tunazika karibu na nyumba au pembeni kidogo yaan kwenye mazingila mbele ya nyumba.

Sasa hawa wa barabara nasikia nyumba zilizowekewa x zinabomolewa na makaburi kuhamishwa sasa barabara itakayojengwa hapo unategemea nn? Sijui kwetu itakuwaje maana ni desturi makaburi yote yako mbele ya nyumba na nyumba waliweka x. Hiyo kweli kusumbua marehemu ajari hazitoisha.
hio ipo hata kwa wengine..gata sisi kijijn kwetu kuna nyumbq kuu ya ukoo na nyuma kuna uwanja mkubwq sana makaburi ya memba wote wa ukoo wapo hapo...
 
hio ipo hata kwa wengine..gata sisi kijijn kwetu kuna nyumbq kuu ya ukoo na nyuma kuna uwanja mkubwq sana makaburi ya memba wote wa ukoo wapo hapo...
ni Nyumba nyingi za vijijini ziko hivyo
 
nimesoma shule ya msingi ambayo kilikuwa kinapita kimbunga kila ijumaa mida kama ya saa sita kasoro, siku moja ulipita upepo mkubwa ulioezua majengo mengi ya madarasa na kuleta madhara hadi tukatangazwa RTD miaka ile,
ilisemekana shule ilijengwa juu ya makaburi, kuna mambo waliweka sawa saivi hakuna tatizo mshana jr
Sehemu yoyote palipokuwa na makaburi kisha pakafanyiwa uwekezaji mwingine, vituko, mabalaa na vibweka huwa haviishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mshana jr hivi mtu mfano amekufa mwanza, ila makazi yake wakati wa uhai yalikuwa Dar, na akazikwa Mbeya bila kupita Dar (naamini makazi ya roho yake yatakuwa ni mbeya), je roho hiyo inaweza kufika nyumbani Dar?? (Kabla ya mazishi na hata baada ya mazishi)
 
Back
Top Bottom