Dhana ya mwanaume kuendeleza ukoo na mwanamke kukuza uko wa mwanaume bado ipo au ilishapotea?

okiwira

JF-Expert Member
Jul 23, 2018
2,787
2,857
Moja kwa moja kwenye uzi.

Ile dhana ya kuwa wanaume ndiyo wanao endeleza ukoo na mwanamke anakuza ukoo wa kwa mwanamme bado ingali ipo au tulishavuka karne hizo?

Kuna umuhimu wa kuwa na watoto wa kiume walau watatu ili wakuze ukoo wako mwanaume au hata usipokuwa nao watoto wako wa kike nao ni sehemu ya kukuza/kuendeleza ukoo wako?

NOTE:USAWA KWA WOTE.
 
Jamii yetu ni Patrilineal society hivyo haya mambo hayategemei wakati ni jambo ambalo jamii yetu imekuwa structured enzi na enzi hakiwezi kubadilika kwa sekunde kadhaa .
 
Mada kama hii inaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo mburula.....ww wakati wenzako tunasoma na kuelewa topic ya GENETICS kwenye somo la biology ww ulikuwa unalamba kamasi.....jambo jepesi kama hili ww hunauwezo wa kulitafakari na kulipatia majibu???ni kitu gani unaweza hapa duniani???au nyie ndo mnaongeza idadi ya watu na kumaliza oxygen bure bila kuwa productive???
 
Mada kama hii inaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo mburula.....ww wakati wenzako tunasoma na kuelewa topic ya GENETICS kwenye somo la biology ww ulikuwa unalamba kamasi.....jambo jepesi kama hili ww hunauwezo wa kulitafakari na kulipatia majibu???ni kitu gani unaweza hapa duniani???au nyie ndo mnaongeza idadi ya watu na kumaliza oxygen bure bila kuwa productive???
🤣🤣🤣😅😅😂😆😀sasa kijana unazani wote tuliomo humu tumesoma hayo unayoyaita MAJINETIKSI NA MABAIOLOJI🤣🤣.
 
Mada kama hii inaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo mburula.....ww wakati wenzako tunasoma na kuelewa topic ya GENETICS kwenye somo la biology ww ulikuwa unalamba kamasi.....jambo jepesi kama hili ww hunauwezo wa kulitafakari na kulipatia majibu???ni kitu gani unaweza hapa duniani???au nyie ndo mnaongeza idadi ya watu na kumaliza oxygen bure bila kuwa productive???
Kijana mbona MAISHA ni rahisi mno🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
 
Back
Top Bottom