Dhana ya Kutofumua Makaburi

Buchanan

JF-Expert Member
May 19, 2009
13,192
1,972
Kuna perception inayojengeka kwamba utumbuaji wa majipu hauwahusu kabisa wanasiasa ambao ndio hasa walioifikisha nchi kuitwa "Shamba la Bibi!"

Hata hivyo, Watu walitoa "benefit of doubt" kwa kuwa "mtumbuaji" bado hajakabidhiwa rungu ili kuanza kazi hiyo!

Lakini katika Hali ya kushangaza "mtumbuaji" ameonesha kuwa huo mpango wa utumbuaji Hana na amedai kuwa sio vizuri "kufumua makaburi!"

Ni Kama vile "mtumbuaji" anaonesha kwamba wanasiasa, hasa wa Chama chake ni "untouchable " Kama alivyo yeye mwenyewe!
 
Hisia zako haziwezi kuwa ni ukweli wa maana ya kauli ya Rais Magufuli.

Wanasiasa ambao wamelifikisha nchi kuitwa 'shamba la bibi' ni kina nani?

Wataje hao wanasiasa ili hoja yako isimame katika msingi wa nguvu za hoja.
 
Kuna perception inayojengeka kwamba utumbuaji wa majipu hauwahusu kabisa wanasiasa ambao ndio hasa walioifikisha nchi kuitwa "Shamba la Bibi!"

Hata hivyo, Watu walitoa "benefit of doubt" kwa kuwa "mtumbuaji" bado hajakabidhiwa rungu ili kuanza kazi hiyo!

Lakini katika Hali ya kushangaza "mtumbuaji" ameonesha kuwa huo mpango wa utumbuaji Hana na amedai kuwa sio vizuri "kufumua makaburi!"

Ni Kama vile "mtumbuaji" anaonesha kwamba wanasiasa, hasa wa Chama chake ni "untouchable " Kama alivyo yeye mwenyewe!
Hapa alikuwa anawaongelea walio kwazana kipindi cha campaign na wala si mafisadi.
 
Nafikiri kwa kauli yake ya "wanaCCM tusameheane tusifukue makaburi ya zamani, hata mimi sitayafukua" inatosha kutupa picha ya mipaka ya hatua zake.
Anatafuta kuungwa mkono ili awe Mwenyekiti. Wait and see akiwa Mwenyekiti atayafukua tu. Kwani sasa analofanya si kufukua? Ni campaign strategy
 
Kuna perception inayojengeka kwamba utumbuaji wa majipu hauwahusu kabisa wanasiasa ambao ndio hasa walioifikisha nchi kuitwa "Shamba la Bibi!"

Hata hivyo, Watu walitoa "benefit of doubt" kwa kuwa "mtumbuaji" bado hajakabidhiwa rungu ili kuanza kazi hiyo!

Lakini katika Hali ya kushangaza "mtumbuaji" ameonesha kuwa huo mpango wa utumbuaji Hana na amedai kuwa sio vizuri "kufumua makaburi!"

Ni Kama vile "mtumbuaji" anaonesha kwamba wanasiasa, hasa wa Chama chake ni "untouchable " Kama alivyo yeye mwenyewe!
Ni makaburi gani hasa hayo? Wakati fulani alisema wako wanachama walikihujumu chama na atashughulika nao. Sasa anasema makaburi yasifumuliwe. The best thing he can do ni kuandika speech zake ili awe na kumbukumbu sahihi.
 
Ni makaburi gani hasa hayo? Wakati fulani alisema wako wanachama walikihujumu chama na atashughulika nao. Sasa anasema makaburi yasifumuliwe. The best thing he can do ni kuandika speech zake ili awe na kumbukumbu sahihi.
Humfahamu Magufuli wewe. Kwa sasa amelazimika kuwa mpole na mnyenyekevu. Subiri akabidhiwe rungu ndani ya chama. Kwa sasa anajua kuwa hana mamlaka ndani ya chama. Akikabidhiwa mtaona muziki wake
 
Wanasiasa ambao wamelifikisha nchi kuitwa 'shamba la bibi' ni kina nani?

Wataje hao wanasiasa ili hoja yako isimame katika msingi wa nguvu za hoja.
Namba moja ni mheshimiwa sana rais mstaafu Dr. Al Hadj Luteni Kanali Mrisho Jakaya Kikwete na ccm yake ndio kiini cja nchi hii kuwa shamba la bibi! Au wewe unafikirije?
 
Kuna perception inayojengeka kwamba utumbuaji wa majipu hauwahusu kabisa wanasiasa ambao ndio hasa walioifikisha nchi kuitwa "Shamba la Bibi!"

Hata hivyo, Watu walitoa "benefit of doubt" kwa kuwa "mtumbuaji" bado hajakabidhiwa rungu ili kuanza kazi hiyo!

Lakini katika Hali ya kushangaza "mtumbuaji" ameonesha kuwa huo mpango wa utumbuaji Hana na amedai kuwa sio vizuri "kufumua makaburi!"

Ni Kama vile "mtumbuaji" anaonesha kwamba wanasiasa, hasa wa Chama chake ni "untouchable " Kama alivyo yeye mwenyewe!
Kama siyo ushabiki, basi kauli hiyo umeielewa ndivyo sivyo. JPM alikuwa anawaeleza wana CCM wenzake kuwa waache kufitiniana kwa kigezo cha kusalitiana wakati wa uchaguzi. Kwamba hatabagua mwana CCM yeyote (wakati wa kuteua) kwa kigezo cha kuwa mhusika aliwasaliti wakati wa uchaguzi. hiyo ndiyo dhana ya rais ya kutofukua Makaburi. Tusipotoshe.
 
Back
Top Bottom