Dhana ya kuombewa

 
Anataka kuombewa siku zote.

Sijamsikia akisema nawaombea

Hawa ndiyo akina chetu ni chake. Chake ni chake!

Ashauriwe kujiombea.
 
Kuna watu katika ulimwengu huu ukiwaombea mambo mema na wewe unapata baraka! It's strange, but believe me it's totally true!
 
Tulipiga kelele sana wakati wa kampeni, kulikuwa na viashiria vingi kuwa huko tuendako mambo yatakuwa si mambo...viashiria vilikuwa vya wazi kabisa lakini watu walishangilia na kusifu, sasa picha inakuwa angavu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…