feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,802
- 12,633
- Thread starter
- #21
Unadhani yeye ndiyo chanzo cha tabia yako?Sawa kitarudi na kitakuwa changu,Lakini hakuna tena uaminifu hapa neno la mwisho ameniambia siwezi badili tabia yangu hata akirudi kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tamaa tu za kimwili ziliniandamaUnadhani yeye ndiyo chanzo cha tabia yako?
20+ unasema mimi mtoto...Aya nashukuru kwa ushauri lakiniutoto tu huo!we kazana na masomo basi..kila kitu kitàjiset
Kuna kitu kinaitwa Karma kipimo utakacho pimia wengine ni hicho hicho utakacho pimiwa. Malipo ni hapa hapa dunia tunaishi na kujifunza wote hii karma imewachapa sasa ni jukumu lenu kukaa chini na kuanza upya maisha yenu, nadhani mtakuwa watu wema sasa baada ya kutambua usaliti siyo kitu kizuri.
Wewe tulia tu! Mpe muda nayeye
Ni ngumu sana kujenga uaminifu. Wengi watakwambia hachana nae lakini swali ni kwamba wewe uko tayari kumuacha? Ni rahisi mtu kumshauri mwenzake hivyo lakini kwa kua hayo si yake. We unajua mlipotoka na mlivyoishi. Never say goodbye if you still want to stay. Huko utakapokwenda utakutana na changamoto zingine na pengine kubwa zaidi ya hizi. Hata akikusamehe haiwezi kuleta uaminifu kwa kwa muda mfupi. Tegemea malalamiko nk ila baada ya muda fulani kama utafanya matendo ya kumfanya akuamini itafika kipindi atakuamini tena. Ila kama nawe unaona hakufai mwache. Follow your ♥.Sawa kitarudi na kitakuwa changu,Lakini hakuna tena uaminifu hapa neno la mwisho ameniambia siwezi badili tabia yangu hata akirudi kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kua na maamuzi magumu,huyo mpenzi wako mmeshasalitiana vyakutosha na haitatokea tena mje kuaminiana kiukweli never! mtaishi kwa mashaka mashaka maisha yenu yote,unapokosa uaminifu kwa mtu ni ngumu sana kuja kumuamini tena,labda iwe imani fake kisa tu unampenda na hutaki kumpoteza,
Hapana Mwenyezi Mungu aniepushe na huo ushenzi ninaposema kila kitu namaanisha vitu vyote anavyopaswa kufanyiwa mumefeyzal ananipa kila kitu moyo unaniuma mno mpaka sasa nipo kwenye Dailema hatuongei na wala hana hata hamu ya kupoea simu zangu
Kwa hiyo anakupa mpaka tiGo a.k.a AR?
kutoka: 22D Arnold st.
Sawa nashukuru pia kwa ushauriKua na maamuzi magumu,huyo mpenzi wako mmeshasalitiana vyakutosha na haitatokea tena mje kuaminiana kiukweli never! mtaishi kwa mashaka mashaka maisha yenu yote,unapokosa uaminifu kwa mtu ni ngumu sana kuja kumuamini tena,labda iwe imani fake kisa tu unampenda na hutaki kumpoteza,
Life is too short kuishi kwa mashaka mashaka,
There is no greater wealth than peace of mind.
Ni ngumu sana kujenga uaminifu. Wengi watakwambia hachana nae lakini swali ni kwamba wewe uko tayari kumuacha? Ni rahisi mtu kumshauri mwenzake hivyo lakini kwa kua hayo si yake. We unajua mlipotoka na mlivyoishi. Never say goodbye if you still want to stay. Huko utakapokwenda utakutana na changamoto zingine na pengine kubwa zaidi ya hizi. Hata akikusamehe haiwezi kuleta uaminifu kwa kwa muda mfupi. Tegemea malalamiko nk ila baada ya muda fulani kama utafanya matendo ya kumfanya akuamini itafika kipindi atakuamini tena. Ila kama nawe unaona hakufai mwache. Follow your .