nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
naoana umeshapata nervous break down..take a chill pill and re-organize your mindTusizungumzie vitu ambavyo haviko hai..haitatusaidia...waste of time
naoana umeshapata nervous break down..take a chill pill and re-organize your mindTusizungumzie vitu ambavyo haviko hai..haitatusaidia...waste of time
Mbona Lowassa katajwa Richmond na mnae huko?Maandiko matakatifu yameweka wazi ukubwa wa dhambi ya usaliti na kwamba laana yake inatafuna mpaka kizazi cha 4 , tena bila ya kujali cheo cha Mhusika.
Hamad Rashid ambaye "alihongwa" vyeo baada ya " kuuza mechi " sasa ni dhahiri vyeo alivyohongwa vimeanza kumtokea puani , ametajwa kwenye ripoti ya Ndugai imemtaja kuliingizia Taifa hasara kubwa mno
kusaliti ccm mungu anakubariki maana ccm n shetan sasa MTU akiokokoka c anabarikiwaNa walio upinzani kwa kusaliti CCM hiyo laana yako haiwawahusu!! Au kama kawaida ya kuangalia vitu kwa miwani ya mahaba.
chadema n kama msikiti au kanisa wanatubu watu waliofanya maasi huko ushetanini sisiemuKinachofurahisha hao wote wakihamia Chadema wanakuwa wasafi.
Kweli Tanzania tumebarikiwa kwa unafiki.
mbn hamumkamati au mnamwogopa? si MNA dola?Mbona Lowassa katajwa Richmond na mnae huko?
Mwenye Enzi Mungu anihurumie mimi na kizazi changu milele yote!
Hivi kumuacha shetani na uovu wake nayo inaitwa kumsaliti? Na kwamba kwa kitendo hicho katika ulimwengu was haki utaadhibiwa?Na walio upinzani kwa kusaliti CCM hiyo laana yako haiwawahusu!! Au kama kawaida ya kuangalia vitu kwa miwani ya mahaba.
Kwa miaka mingi sana tumekuwa tukionya watu kujiepusha na ccm kwa sababu tunafahamu kitakachowakuta .
Wokovu kamili... Atakayepinga ni mjingaHivi kumuacha shetani na uovu wake nayo inaitwa kumsaliti? Na kwamba kwa kitendo hicho katika ulimwengu was haki utaadhibiwa?
Kuondokana na mambo ya ccm sio usaliti Bali wokovu
Wapinzani waliwasaliti ccm baada ya kuuona muelekeo wa ccm unalitumbukiza taifa shimoni, uasi huu ni mtakatifu.Na walio upinzani kwa kusaliti CCM hiyo laana yako haiwawahusu!! Au kama kawaida ya kuangalia vitu kwa miwani ya mahaba.
Na wale Wengine waliotajwa walimsaliti nani?Maandiko matakatifu yameweka wazi ukubwa wa dhambi ya usaliti na kwamba laana yake inatafuna mpaka kizazi cha 4 , tena bila ya kujali cheo cha Mhusika.
Hamad Rashid ambaye "alihongwa" vyeo baada ya " kuuza mechi " sasa ni dhahiri vyeo alivyohongwa vimeanza kumtokea puani , ametajwa kwenye ripoti ya Ndugai imemtaja kuliingizia Taifa hasara kubwa mno
Jibu unalijua , waje UKAWA tuirudishe nchi kwa wananchi , badala ya kuwaachia watu wasiojulikana .Wakijiepusha na ccm waende chama gani..?? Mbona hili swali huwa hampendi kulijibu..wajinga kweli..tupe chama mbadala tuone kama unaweza tamka hapa hadharani...shwain
Mtu yeyote aliyeamua kuachana na shetani hawezi kuitwa msaliti , tafuta jina jingineNa walio upinzani kwa kusaliti CCM hiyo laana yako haiwawahusu!! Au kama kawaida ya kuangalia vitu kwa miwani ya mahaba.
Uzi huu unamhusu Msaliti Hamad Rashid tu .Na wale Wengine waliotajwa walimsaliti nani?
Hahahah umejitoa mhanga walau kutamka..UKAWA kwani iko wapi sikuhizi mzee mbona umepitwa na wakati..haihusiani na chama..ni Umoja wa Katiba ya Wananchi umoja ambao umeshakufa zamani..tunakutaka sasa utamke chama gani,..!! Be specific usione aibu kutamka chama...hahahaha...wakina Mbowe wamewaumiza kweli kuwaletea mafisadi..mnaona hata aibu kutamka hata chama..vumilieni tuu ndio maishaJibu unalijua , waje UKAWA tuirudishe nchi kwa wananchi , badala ya kuwaachia watu wasiojulikana .
Unafahamu wagombea urais wa UKAWA wanasimama kwa CHADEMA ila unajitoa akili tu , hao mnaowasema mafisadi mmeshindwa kuwashitaki na Magufuli alishafunga mjadala huo , labda umebaki wewe tu , buku 7 wenzio wameishaufyataHahahah umejitoa mhanga walau kutamka..UKAWA kwani iko wapi sikuhizi mzee mbona umepitwa na wakati..haihusiani na chama..ni Umoja wa Katiba ya Wananchi umoja ambao umeshakufa zamani..tunakutaka sasa utamke chama gani,..!! Be specific usione aibu kutamka chama...hahahaha...wakina Mbowe wamewaumiza kweli kuwaletea mafisadi..mnaona hata aibu kutamka hata chama..vumilieni tuu ndio maisha