Dhambi ya usaliti yamtafuna Hamad Rashid

Hahahaha safiii..??? Muulize Tundu Lissu kwanza aliyeandika LIST OF SHAME akishakupa jibu uje hapa utapike tukusikie..msijifanye kusahau mambo wajameni au tuwakumbushe na clip zao kina Mnyika., Lema., Msigwa..muone walizungumza nini...msitufanye sisi majuha wajameni
Kusema hata ww unaweza kusema ukatoa clip, lakini je ndio ukweli huo, mbona hapelekwi mahakamani kwaninavoijua CCM wanavohasira na chuki kwa Eddo hawawezi kumuacha hivihivi
 
Kwa miaka mingi sana tumekuwa tukionya watu kujiepusha na ccm kwa sababu tunafahamu kitakachowakuta .
Kitawakuta nini , acha ramli chonganishi , ccm chama dume, hakuna wa kushindana nao , mwanaume kazi tu , sio kutwa kupiga ramli,na kelele nyingii, kama kelele za mke mwenza .
 
Unafahamu wagombea urais wa UKAWA wanasimama kwa CHADEMA ila unajitoa akili tu , hao mnaowasema mafisadi mmeshindwa kuwashitaki na Magufuli alishafunga mjadala huo , labda umebaki wewe tu , buku 7 wenzio wameishaufyata
Weweee tafuta report ya Mwakyembe uisome...nakwambia lungu ambalo lingempata mamvi kama asingekimbilia kujiuzuru kule bungeni leo tungekuwa tunasema mengine..ndio maana anaitwa Waziri Mkuu aliyejiuzuru kazi...na sio waziri mkuu mstaafu..hakustaafu..alikimbilia kujiuzuru ili kuepuka dhahama ya wabunge na kamati ya Mwakyembe...
 
Sie Team Aboud Jumbe Na Team James Mapalala tunacheeeeeeka!

Malipo Hapa Hapa
Ila tulimuusia sana na kumshauri maalim seif wakati ule alhaj jumbe yupo hai, tulimwambia muwahi jumbe kabla hajarejea kwa mola wake umtake radhi kwa uliyomfanyia ila hakusikia.

Ghafla tukamuona kaibukia msibani kwa mtoto wa alhaj jumbe.

Laana ya alhaj jumbe kumtoa na kumnyanyua maalim seif toka kushika chaki pale sekondari ya haile selasie hadi kuwa msaidizi wake ikulu na kisha kuwa waziri wake wa nchi.

Malipo yake ni maalim seif kumsaliti na kumchongea alhaj jumbe kwa nyerere ili arithi kiti cha urais wa ZNZ mwaka ule 1984.

Leo kiko wapi anafukuzwa kwenye chama chake alichopigania kwa jasho na damu.

Sikupi pole ngoooo maalim kwa kuwa haya uliyachuma kutokana na mikono yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila tulimuusia sana na kumshauri maalim seif wakati ule alhaj jumbe yupo hai, tulimwambia muwahi jumbe kabla hajarejea kwa mola wake umtake radhi kwa uliyomfanyia ila hakusikia.

Ghafla tukamuona kaibukia msibani kwa mtoto wa alhaj jumbe.

Laana ya alhaj jumbe kumtoa na kumnyanyua maalim seif toka kushika chaki pale sekondari ya haile selasie hadi kuwa msaidizi wake ikulu na kisha kuwa waziri wake wa nchi.

Malipo yake ni maalim seif kumsaliti na kumchongea alhaj jumbe kwa nyerere ili arithi kiti cha urais wa ZNZ mwaka ule 1984.

Leo kiko wapi anafukuzwa kwenye chama chake alichopigania kwa jasho na damu.

Sikupi pole ngoooo maalim kwa kuwa haya uliyachuma kutokana na mikono yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mzee Maalimu Seifu ameanza kitambo safari ya kusaka URAIS wa Zanzibar!!!!!!!
 
Back
Top Bottom